Mbwana Samatta aanza kusugua benchi KRC Genk

Naanza kuamini Kati ya watanzania 10 , 9 ni wachawi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wana kocha mpya....anatafuta kikosi....alipofika Samatta aliendelea kuanza kikosini lakini hakuwa na kiwango kizuri...sasa anaingia dakika za mwisho lakini bado kiwango hakiko vizuri...Mna-geria anaeanzishwa amejitahidi lakini kiwango Chake cha kawaida tu...Samatta bado ana-nafasi. Naamini England anapaweza kwani ni mzuri kwa Timu inayocheza kitimu...Genk ya mwaka huu kidogo nayo haiko vizuri .
 

Binafsi huyo Samatta sijawahi kumkubali...anyway ila kama Mtz namuombea mafanikio...
 
Juzi kaingia dk ya 85...mnaigeria kaendelea kuaminiwa na ametupia tena goli....Samatta kiwango hakiko sawa mzima huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…