binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Za waislamu hazina mbwembwe sababu zingekuwa nazo mume angefilisika hadi.afikishe wake wanne kila mmoja akimfanyia sherehe ya nguvu si atakuwa maskini.Uko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.
Hao wawili sidhani kama ataacha kuwaalika aiseeNamuona Ulimwengu, mzee wa kutembelea nyota ya Mbwana.
Edo Kumwembe na shaffih hawakualikwa nini?
Mbona Mwanafalsafa alifunga ndoa baada ya kuishi na kuzaa na mke wake na alifanya sherehe.Mtu anafungaje ndoa wakati walikuwa wakiishi wote na wamezaa? Aliiona aibu kuwa akisema anaomba mchango wa Kufunga ndoa watu wangemzodoa.Hamna Cha Kufunga ndoa hapo Ni umaruhuni tu.
Mkuu tukiacha mambo mengine mimi waislam katika mambo nayowakubali na kuwaonea wivu ni NDOA na MISIBAUko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.
Wakristo huwa hawafungishi ndoa watu wa aina hiyo huwa tu wanabariki mahusiano yao .Makanisa mengine ni wakali Kama pilipili hawaruhusu mwanamke aliyezaa kuvaa hata shela anaenda time na mavitenge Yake na mwanaume hata suti haruhusiwi kuvaa .Mbona Mwanafalsafa alifunga ndoa baada ya kuishi na kuzaa na mke wake na alifanya sherehe.
Sio hawana mbwembweMkuu tukiacha mambo mengine mimi waislam katika mambo nayowakubali na kuwaonea wivu ni NDOA na MISIBA
Yaan hawana mbwembwe kabisa
Umri ni namba tu acha wafurahie ndoa yaoIla nasikia mke kamzidi mme umri miaka 4
duuh hili lote ni tusi umentukana? Any way ngoja niachane na wewe. N uwe na jioni njemaInakuhusu nini? Si bure unaukalia wewe
Nimezungumzia ufungaji wa ndoa. Hayo ya baada ya ndoa au wake wangapi siyo mjadala wangu.Za waislamu hazina mbwembwe sababu zingekuwa nazo mume angefilisika hadi.afikishe wake wanne kila mmoja akimfanyia sherehe ya nguvu si atakuwa maskini.
Wakristo Ni.mke mmoja hivyo mke hufanyiwa sherehe ya uhakika.
Halafu kwa waislamu talaka nje nje mtu anaogopa kugharimia mtu ambaye Hana uhakika naye ataishi naye muda gani.
Ndoa za kiislamu za kutizamana kimachale machale kila mtu haelewi mwenzie atachomoa betri lini.
Ila nasikia mke kamzidi mme umri miaka 4
Tumsifu yesu kristooUko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.