Kwa hiyo wasingehalalisha ili waendelee kuzini? Hii kaliMtu anafungaje ndoa wakati walikuwa wakiishi wote na wamezaa? Aliiona aibu kuwa akisema anaomba mchango wa Kufunga ndoa watu wangemzodoa.Hamna Cha Kufunga ndoa hapo Ni umaruhuni tu.
Yaan kapanic, nahisi shoga alikuwa mchepuko wa SamattaMbona ume panic dada?
Maana komenti zako zote zimejaa negativity.
Una mimba changa au mbwana alikutosa akamuoa mwenzio?
Kabisa.Yaan kapanic, nahisi shoga alikuwa mchepuko wa Samatta
Tena hao wenye mbwembwe wanatupa shida kweli na vikadi vyao tuwachangie tusipo changa wanatununia, wamesababisha hadi upande wa pili nao wanaiga hizi mvwembwe za kadiSio hawana mbwembwe
Hela wengi hawana.Utakuwaje na mbwembwe wakati hela huna
Sio hawana mbwembwe
Hela wengi hawana.Utakuwaje na mbwembwe wakati hela huna
Mbona Mwanafalsafa alifunga ndoa baada ya kuishi na kuzaa na mke wake na alifanya sherehe.
Ukubwa ama udogo wa harusi yaani iwe simple ama complicated hautokani na dini ni utashi wa mtu tu.Uko sahihi kabisa. Katika vitu navyoonea wivu waislam ni suala la ndoa. Harusi zao zipo simple and clear. Hakuna ujinga ujinga wa vikombwelezo visivyo na maana. NB: Hapa sinzungumzii wale waislam walioingia kwenye klabu ya ndoa zenye vikombwelezo kama wakristo.
Kweli kabisa , za wa KRISTO usipo kula bata hiyo moja basi, ukiachika basi huko kwingine ni uzinzi tuZa waislamu hazina mbwembwe sababu zingekuwa nazo mume angefilisika hadi.afikishe wake wanne kila mmoja akimfanyia sherehe ya nguvu si atakuwa maskini.
Wakristo Ni.mke mmoja hivyo mke hufanyiwa sherehe ya uhakika.
Halafu kwa waislamu talaka nje nje mtu anaogopa kugharimia mtu ambaye Hana uhakika naye ataishi naye muda gani.
Ndoa za kiislamu za kutizamana kimachale machale kila mtu haelewi mwenzie atachomoa betri lini.
Kabisa. Na nilichosema ni kuwa waislam wengi harusi zao ni simple kulinganisha na za wakristo ambazo wanaweka vimbwanga vingi vizivyo na maana. Na nikasema pia wako waislam wanaofanya za kifahari kulinganisha japo siyo wengi kama wakristo. Sikusema popote dini ndizo zinaamuru bali ni mapokeo tu.Ukubwa ama udogo wa harusi yaani iwe simple ama complicated hautokani na dini ni utashi wa mtu tu.
Hakuna mafundisho yoyote ya dini yaliyoweka kigezo cha ukubwa au udogo wa harusi.
Ila nasikia mke kamzidi mme umri miaka 4
Siyo dini zina-complicate au ku-simplify bali ni mapokeo. Dini hazitaji popote kitu kama sherehe. Sherehe ni matokeo tu. Lakini lazima tukubali kuwa kwenye dini ya ukristo, mapokea yao yamekuwa ya gharama kuliko waislam. Na mbaya zaidi waafrika wameingia kichwa kichwa na kufanya tena sherehe ikawa ya gharama kuliko hata wazungu walioleta hizo dini na mapokea. Juzi jamaa yangu katoka kwenye kikao cha harusi na kaniambia wanapanga kufanya yafuatayo: Engagement part (walishafanya), bridal shower, kitchen part, send off, harusi yenyewe na baadae honeymoon! Na kila tukio linakuja na gharama zake na ukiangalia wahusika siyo watu wenye fedha nyingi!Consigliere,
Hata makanisani wanapiga vita ndoa za mbwembwe. Inaonekana umekaririshwa mambo, wafunga ndoa za kikristu wengu tu huchukuana na kwenda kufungishwa ndoa ma Padre bila ya kuwepo mikusanyiko ya watu kama mnavyoona.
Katoliki zinafungwa sana ndoa hizo. Wanaotaka ndoa zenye mbwembwe siyo makanisa bali ni wanafamilia. Usichanganye mambo.
Umemaliza kila kitu nilichotaka kuzungumza. Watu wengi huchanganya sana kati ya ndoa na harusi, Ndoa ni tendo la kuunganisha watu wawili wapendanao kiimani tu tukiamini chini ya watumishi wa Mungu waliokasimishwa mamlaka hayo yaani Sheikh au Padre au Mchungaji wakati harusi ni sherehe baada ya tukio zima la ndoa kufungwa. Sasa hapa jinsi ya kuifanya hiyo sherehe ya ndoa ni familia zenu Zaidi zitaamua, kwa upande wa dini hakuna dini hata moja inayo-complicate the whole process.
Karibia 90% ya wakatoliki hufanya kama Sammata. yaani hubarik ndoa tu wakat wameshazaa .Hata makanisani wanapiga vita ndoa za mbwembwe. Inaonekana umekaririshwa mambo, wafunga ndoa za kikristu wengu tu huchukuana na kwenda kufungishwa ndoa ma Padre bila ya kuwepo mikusanyiko ya watu kama mnavyoona.
Katoliki zinafungwa sana ndoa hizo. Wanaotaka ndoa zenye mbwembwe siyo makanisa bali ni wanafamilia. Usichanganye mambo.
Unaelewa maana ya mke?Hawakuachana alibaki mkewe Hadi alipofariki