Mbwembwe zao utazikuta wakati wa Eid nguo hta nne nne ndo mna hata wafanyabiashara wa kariakoo wanafurahia Eid kuliko za kikristoKiujumla waislamu hawana mbwembwe kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbwembwe zao utazikuta wakati wa Eid nguo hta nne nne ndo mna hata wafanyabiashara wa kariakoo wanafurahia Eid kuliko za kikristoKiujumla waislamu hawana mbwembwe kabisa.
Kaka hii ilinipitaSherehe ilifanyika wapi?
Kwa hiyo huyo samata nae hana hela.Sio hawana mbwembwe
Hela wengi hawana.Utakuwaje na mbwembwe wakati hela huna
Swaiba nina shida na ww Dada yngu...Kaka hii ilinipita
Naambiwa Hapa Kuna Mto Ukinywa Maji Unazaa Watoto Mapacha, Ni Vile Mke Wangu Ni Mzee Lakini Tungekwenda Kunywa . Ndugu Zangu Waandishi Wa Habari Mkanywe Na Wengine Mkizaa Mapacha Tunaongezeka
Rais Wa Jamhuri Ya Muungano Wa Tanzania
Sio hawana mbwembwe
Hela wengi hawana.Utakuwaje na mbwembwe wakati hela huna
Hahaha nyie hela mnazo lakini mnasumbua watu na michango ya ndoa na makamati kibao.Sio hawana mbwembwe
Hela wengi hawana.Utakuwaje na mbwembwe wakati hela huna
Kipindi yupo TP mazembe niliona picha zake na mzungu. Inaonekana alikua na huyu mama watoto wake kabla ya mzungu. Inawezekana alienda kumtengeneza arudi kwenye mstari [emoji23][emoji23][emoji23]. wanawake wa kiswahili ni hatari sanaHivi huyu jamaa si alikuaga na mchumba wa kizungu au nimechanganya?!
Em futa kwanza machozi halafu ongea vizuri tukuelewe.Mtu anafungaje ndoa wakati walikuwa wakiishi wote na wamezaa? Aliiona aibu kuwa akisema anaomba mchango wa Kufunga ndoa watu wangemzodoa.Hamna Cha Kufunga ndoa hapo Ni umaruhuni tu.
Kipindi yupo TP mazembe niliona picha zake na mzungu. Inaonekana alikua na huyu mama watoto wake kabla ya mzungu. Inawezekana alienda kumtengeneza arudi kwenye mstari [emoji23][emoji23][emoji23]. wanawake wa kiswahili ni hatari sana
Watu wenye akili nyingi wapongezwe sana .Ndoa haitaki kick inataka heshima so misifa yakijingajingaMshambuliaji wa kimataifa wa Tanzania anayeichezea KRC Genk ya Ubelgiji Mbwana Samatta usiku wa October 10 2019 alifunga ndoa na mpenzi wake wa muda mrefu Naima Omary, Samatta alifunga ndoa jijini Dar es Salaam na kuhudhuriwa na watu wake wachache wa karibu.
Naima na Samatta kabla ya kufunga ndoa walibahatika kupata watoto wawili wa kiume ambaye ni mkubwa na anajulikana kwa jina la Karim na mtoto wa kike, hata hivyo kwa upande wa wachezaji ndoa hiyo ilihudhuriwa na Thomas Ulimwengu, Himid Mao na Faraj Kabaly.
Tunawatakia kila la heri katika ndoa yenu.
View attachment 1229766View attachment 1229767View attachment 1229768View attachment 1229769View attachment 1229770
Unakijua kipato chake ?Kipato kinamruhusu kuongeza wake wengine watatu.
Probably kakuzidi kipato.Unakijua kipato chake ?
Kaka hii ilinipita
Acha wivu, mbona kiba Siku zote anatembelea ya dayamondi.Maisha ni vita.Namuona Ulimwengu, mzee wa kutembelea nyota ya Mbwana.
Edo Kumwembe na shaffih hawakualikwa nini?