Hatimaye mchezaji mtanzania anayekipiga krc genk Mbwana Samatta amefunga goli la kwanza tokea ajiunge na timu hiyo ya ubelgiji. Samatta amefunga goli hilo kwenye mechi ya leo dhidi ya club brugge inayoongoza kwenye ligi kuu ya nchi hiyo. Goli hilo lilifungwa dakika ya 81 ya mchezo.
Mkuu Gaza nilikuwa nasubiri sana kusikia jambo hili welldone Mbwana we are proud of him.amefungua pazia sasa aendeleze ili foreigners wa proof his awards..Swali Nina Malichoice DS2V Na Azam. Ni channel gani. Na no.ngapi? Hapa naona man Na arsenal