Mbwana Samatta aifungia bao la kwanza Genk

Mbwana Samatta aifungia bao la kwanza Genk

cliff mkinga

Senior Member
Joined
Aug 29, 2013
Posts
107
Reaction score
83
Hatimaye mchezaji mtanzania anayekipiga krc genk Mbwana Samatta amefunga goli la kwanza tokea ajiunge na timu hiyo ya ubelgiji. Samatta amefunga goli hilo kwenye mechi ya leo dhidi ya club brugge inayoongoza kwenye ligi kuu ya nchi hiyo. Goli hilo lilifungwa dakika ya 81 ya mchezo.

 
ImageUploadedByJamiiForums1456673022.861359.jpg
 
Niko naangalia mechi ya Genk na Club Brugge. Mpaka sasa ni 3-2. Samatta ameingizwa dk 78 na dk 81 kapiga goli la 3.

Mkuu Gaza nilikuwa nasubiri sana kusikia jambo hili welldone Mbwana we are proud of him.amefungua pazia sasa aendeleze ili foreigners wa proof his awards..Swali Nina Malichoice DS2V Na Azam. Ni channel gani. Na no.ngapi? Hapa naona man Na arsenal
 
mechi imeisha kwa ushindi huo. Na dk ya 92 Samatta kapewa kadi ya Njano, sijajua kosa lake kiundani.
 
Back
Top Bottom