Makoye Matale
JF-Expert Member
- May 2, 2011
- 6,491
- 2,104
El Toro ahsante kwa hii taarifa.Jana nilijua tp mazembe walicheza ila sikuwa na taarifa za hili tukio.Mara moja tunawasiliana na klabu lubumbashi tujue nini kinaendelea kwa kijana wetu.
Asante sana President Jamal Malinzi kwa ufuatiliaji. JF idumu milele kwani imekuwa chanzo cha taarifa nyeti kuzidi hata vyombo vya habari vya hapa Tanzania.