Mbwana Samatta akiwa majaribioni CSKA Moscow

Mbwana Samatta akiwa majaribioni CSKA Moscow

Hahahahahhaah......kwamba unataka kutuaminisha mbagala market ndiyo kila kitu

Kwamba simba haikumsaidia kufika hapo?

Yaani kwa sababu ya Uyanga wako tukuamini kwamba kwa samatta kwenda TP Mazembe sio kwa sababu ya kuchezea simba?

Unajua kuwa walisajiliwa wawili toka Simba wakati ule...TP Mazembe iliwaona wakiwa Simba.

Kataeni kubalini ....Simba ndio chuo cha soka Tanzania

Kiota cha kulea makinda bora wa mpira....Manyika...ndemla...mkude....Galas...chriss edward....singano...sammatta and many more.

Ukichukia kula ndimu...hahahaha

umesahau henry joseph na thomas ulimwengu
 
Back
Top Bottom