Mbwana Samatta akiwa majaribioni CSKA Moscow

Mbwana Samatta akiwa majaribioni CSKA Moscow

hunaulijualo ndoma unaongea upuuzi hapa....kwani utoto wao walikuwa wanacheza manyema FC au Simba

Hata Ronaldo alicheza bila njumu enzi zake the same na hao wamecheza Manungwi lkn wakala bata Ulaya. Sasa kina Ngassa wanazeekea Manungwi na pale mabatini
 
Kutoka tovuti ya CSKA
attachment.php

Hah hah hah mkuu naona kwenye PC yako ulikua unajidunga na Rahatupu blog bila Ubishi
 
Hili mbona kila mtu analijua liko wazi kabisa Nonda Shaban alitokea Msimbazi tena alikuwa akiishi mtaa wa Kipata vile ha ha ha ha ha mijitu mingine hovyo kabisa.


Ukicheza Simba kwa Tanzania ni rahisi sana kufika Mbali kimpira… labda uharibu mwenyewe kama…
Yule Anduje Ngasa kipindi ameenda kufanya Majaribio pale Kwa Wagonga nyundo wa London "WestHam Utd" angekuwa ametokea Simba leo hii tungekuwa tunaongea vingine kuhusu yeye…
 
Nasikia wanamuongelea Samattha. Bahati mbaya sijui Kirusi kabisa, too sad. Ila wanasema hai Tanzania na neno Kamanda, sijui ina maana gani hii kamanda?

Kamanda?
Basi ujue jamaa ni Chadema!!
 
Hata Ronaldo alicheza bila njumu enzi zake the same na hao wamecheza Manungwi lkn wakala bata Ulaya. Sasa kina Ngassa wanazeekea Manungwi na pale mabatini

hueleweki kazi sana kubishana na mnazi ambaye hajui soccer..wendo unavuruga huu uzi
 
Ni kweli tumuombee kijana wetu afanikiwe.
Matumaini ni makubwa kwa maana alivyotoka Mbagala Market alikaa muda mfupi Simba kabla ya kwenda TP Mazembe. Hii inampa nafasi kubwa kwa maana angelikaa zaidi ya miaka miwili Simba/Yanga ndipo hapo wachezaji wanakuwaga brainwashed na kujazwa uswahili. Kwa maana hiyo muda aliokuwa DRC atakuwa alirudishia ile akili iliyochafuliwa akiwa Simba!
 
angalau samata naimani anaweza kufanikiwa maana alionyesha uthubutu toka zamani.hao wengine waliotajwa ni kenge tu!wakiongozwa na ngasa
 
angalau samata naimani anaweza kufanikiwa maana alionyesha uthubutu toka zamani.hao wengine waliotajwa ni kenge tu!wakiongozwa na ngasa
 
Kama atasajiliwa atakuwa akiwania number hawa watu wawili toka Ivory Coast na Nigeria

Players

Players

Huyo musa ni mnijeria,ndo yule ambaye yupo kwenye kikosi cha taifa
Musa ni mzuri sana,hata dumbia ni mzuri pia ila huwa anaingizwa kama sub.
kama ni kugombania namba za hao majamaa itakuwa kazi labda kama wanauzwa.
 
Back
Top Bottom