Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lakini ligi bado mbichi sana! Ligi ya michezo 34, hadi sasa ndo kwanza imechezwa michezo peke yake, na kwahiyo uwezo wa ku-bounce ni mkubwa mno! Aston Villa aliikuta timu ikiwa tia maji maji, na kipindi cha lala salama! Ila utamu zaidi, kuna uwezekano mkubwa Antwerp wakawa kundi moja na Fernabahce kwenye Yuropa!Samatta kinaweza kikamkuta kilichomkuta aliposajiliwa Aston Villa,
Samatta aliikuta Villa ikiwa kwenye matatizo hivyo asingeweza kubadili kitu chochote wakati timu yote ilikua imesha jichokea na iliponea kwenye tundu la Sindano tu kushuka daraja,
Sáankwa nn hakumpa... Kiongozi humpa confo mfanyakaz wake...Uniweka nje kila saa unaninyima confidenceKocha wa Fenerbahce alisema Samatta alikosa confidence, ila kama angejiamini ni mchezaji mzuri.