Acha ujinga wewe, kusema namuunga mkono Muislam mwenzangu ndiyo udini?Acha ujinga, utamuharibia, udini peleka msikitini tuachie mchezo wetu, ndo burudani yetu hii sisi, sasa unapoingiza haya udini wenu mtatuchafulia mchezo wetu pendwa. Kaka pembeni dada plz,
Sent using Jamii Forums mobile app
Kavunja record au kaweka record!??Ma Shaa Allah.
Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.
1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.
2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.
3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.
4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.
5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.
Ongezea...
Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2019 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).
Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.
Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.
View attachment 1354340
Kwani Bibi ukikubali tu ulikosea kutakuwa na tatizo?!Kabadili Tu. Hata Mimi kuna wakati nilikuwa shabiki wa Arsenal lakini nikahamia kuishabikia Liverpool kwa ajili ya Mohamed Salah na sasa pia naishabikia Aston Villa kwamahili ya Mbwana Samatta.
Upo hapo ulipo.
Na hayo ni kwa ajili ya Waislam wenzangu. Kumbuka hilo.
Acha uongo Kikwete ni mpenzi kindakikindaki wa Newcastle UtdMa Shaa Allah.
Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.
1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.
2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.
3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.
4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.
5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.
Ongezea...
Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2020 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).
Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.
Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.
View attachment 1354340
Ameen mamaMdomo ni wako kusema ni haki yako lakini uongo si mwema - kumbuka hilo.
Hilo ndiyo la Dada yako. Kazuga kusema mengine.Waislam tuna vipaji sana Allah mkubwa
Kikwete ni shabiki wa NewCastle United, na sio Tottenham kama unavyosema. Kuna kipindi alienda UK na wakati huo PM wa UK ni Tony Blair, alimpa hadi Jersey ya Newcastle United,yenye jina la Kikwete@FaizaFoxy
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaharibu uzi sasa hivi.
Samatta ni kijana wa mfano kwanza hana maringo na mstaarabu sana ukitaka kuthibitisha angalia pesa anayolipwa na maisha anayoishi. Pia, angalia lile sakata alivyokua anashambuluwa na sisi watanzania kwa kucheza vibaya timu ya taifa angalia jinsi alivyojibu jwa utulivu na upole.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwanini usiwe unakubali unaposahihishwa ulipokosea.Huwa sikisii. Kumbuka hilo.
Faiza huwa hakisii.kikwwte ni shabiki wa totenham kweli!!?
Mi nilikua najua ni shabiki wa newcastle
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu kwa wiki anachukua zaidi ya milioni 100 unasema hela ndogo na kwa mwaka anchukua zaidi ya bilioni 5 unasema ya kawaida kibongo bongo?
Kwa hela anayolipw samatta akicheza angalau misimu 2 ana uwezo akarudi bongo akavaa msuli akatumia pesa bila kufanya kazi ana akaishi vyema mapaka anakufa.
Sent using Jamii Forums mobile app