Mbwana Samatta avunja rekodi kedekede

Mbwana Samatta avunja rekodi kedekede

Kiswahili na waswahili...hajavunja rekodi bali kaweka rekodi kama mtanzania.
Kwa mtazamo wangu mimi namba 4 ndio kavunja rekodi sababu aliwakuta watu tayari wanacheza yeye kafanya yake!! Na tena sio mtanzania, nina wasiwasi goli lake ndio goli la kwanza la kichwa kwa Aston Villa toka msimu huu uanze kama sijakosea.

Sasa 1 mpaka 3 kavunja rekodi ya nani! Mie naona tuseme kuwa ndugu yetu samatta kaweka rekodi!

Na nadhani rekodi yake namba 1 ngumu kuja kuvunjwa, atakaejaaliwa kwenda kucheza EPL hatovunja rekodi ya Samatta ila atakuwa kaweka rekodi yake kuwa Mtanzania wa pili kucheza EPL.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa wewe uandike nini ikiwa wote ntawaandika mimi?

Nimeona hamumwandiki Mbwana Samatta, Muislam mwenzangu, hizi rekodi muhimu anazovunja ndiyo maana nikamwandika.

Unaona vibaya?

Waislam wadini sana, watu hawajugi tu. Alfu pia ni watu wanaopenda kulalamika


Happy dude [emoji67]‍[emoji538]
 
Waislam wadini sana, watu hawajugi tu. Alfu pia ni watu wanaopenda kulalamika


Happy dude
emoji67.png
emoji538.png
Kiswahili na waswahili...hajavunja rekodi bali kaweka rekodi kama mtanzania.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kavunja rekodi ya waislam wa Tz.👳💊 😒

Kavunja rekodi zote za Watanzania za waliowahi kutoka nje ya Tanzania kwa kucheza soccer.
 
Kikwete anashabikia Newcastle bibi
Ma Shaa Allah.

Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.

1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.

2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.

3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.

4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.

5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.

Ongezea...

Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2020 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).

Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.

Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.

View attachment 1354340

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtanzania wa kwanza kuwa Mchezaji bora + Top score Caf Champions League.
Mtanzania wa kwanza Kucheza UEFA CL + Kuscore.
 
Ma Shaa Allah.

Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.

1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.

2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.

3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.

4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.

5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.

Ongezea...

Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2020 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).

Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.

Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.

View attachment 1354340
Kikwete anashabikia Newcastle acha uongo wewe bibi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Samatta amefanya mpaka vibibi vya mbagala sasa vimeanza kufuatilia rekodi za mpira wa miguu ilihali zamani vilisema ni haramu!
 
Ma Shaa Allah.

Kijana wetu amevunja rekodi zifatazo mpaka sasa.

1) Mtanzania wa kwanza kucheza Premier League ya Uingereza.

2) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League.

3) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la Premier League kwenye mechi ya kwanza.

4) Mtanzania wa kwanza kufunga goli la kichwa la kwanza la Aston Villa toka msimuu huu uanze.

5) Mchezaji wa kwanza kupanda thamani ndani ya Premier League msimu huu ndani ya mechi mbili tu.

Ongezea...

Samatta anatarajiwa kucheza tena tarehe 16-02-2020 wakati timu yake itapopambana na Tottenham (timu ya Uingereza anayoshabikia Kikwete).

Tumuombee dua njema kijana wetu, anatupeperushia bendera yetu ya Tanzania vizuri kabisa huko Uingereza.

Allah amuondolee na amuepushe na hassad zote. Amiiin.

View attachment 1354340

Kwa kumbukumbu zangu Kikwete ni mshabiki wa Newcastle United.
 
Back
Top Bottom