ibanezafrica
JF-Expert Member
- Oct 23, 2014
- 7,261
- 6,553
Labda mabao ya bafuni...
Sio matatu mkuu, mimi wakirudi nyumbani ata na goli moja tu la kufunga najiondoa jf kabisa.
ligi ipi Samatta kaongoza kwa magoli labda ndondo cup ya manzeseHata Senegal na Algeria wanamuhofia huyo Samatta kwa taarifa yako.Watakuwa wanamkaba kuliko maelez😵gopa mtu aliyeongoza kufunga magoli kwenye ligi ya Ubeligiji (si ligi ndogo kivile ni kwa sababu wengi hatuifuatilii)
Goli tutafunga.. game ya kenya na senegal.Sio matatu mkuu, mimi wakirudi nyumbani ata na goli moja tu la kufunga najiondoa jf kabisa.
Kama kweli kasema hivi basi kazi tunayo. Nikajua hata huko nje ataenda kupata expossure na kujifunza kuongea kama kepteni lakini bila bila!!Leo nimemsikia Samatta akisema wanaenda kucheza michuano hiyo kwa lengo la kuleta heshima kwa Tanzania na Awamu ya tano ya uongozi huu.
ligi ipi Samatta kaongoza kwa magoli labda ndondo cup ya manzese
Acha lomoni taja hiyo nchi ambayo Samatta kawa mfungaji bora acha kuzunguka zungukaTatizo nyie mnadhani kila mtu duniani anafuatilia ligi ya Uingereza.Siku moja nilitembelea nchi ya moja Afrika Magharibi ya kifaransa basi weekend ya premier league nikawa nawashawishi tuangalie EPL wakawa wananishangaa!Kumbe wao wanaangalia sana ligi ya Ufaransa,ukienda Angola/Msumbiji wanaangalia sana ligi ya Ureno;Congo Kinshasha na Brazaville wanaangalia ligi ya Ubeligiji na Ufaransa,Equatorial Guinea=Spain;Nchi zilizotawaliwa na mwingereza zinaangalia EPL.Ni utumwa fulani
Epl ndiyo ligi inayoongoza kwa kufuatiliwa huko Congo wanakooangalia ligi ya Ubelgiji labda iko huko NanjilinjiTatizo nyie mnadhani kila mtu duniani anafuatilia ligi ya Uingereza.Siku moja nilitembelea nchi ya moja Afrika Magharibi ya kifaransa basi weekend ya premier league nikawa nawashawishi tuangalie EPL wakawa wananishangaa!Kumbe wao wanaangalia sana ligi ya Ufaransa,ukienda Angola/Msumbiji wanaangalia sana ligi ya Ureno;Congo Kinshasha na Brazaville wanaangalia ligi ya Ubeligiji na Ufaransa,Equatorial Guinea=Spain;Nchi zilizotawaliwa na mwingereza zinaangalia EPL.Ni utumwa fulani
Ngoja tuone, bt hamna timu paleGoli tutafunga.. game ya kenya na senegal.
Kwa kikosi kipi mkuu, kwa hawa hawa wamakonde kina kichuya[emoji16]Magoli watafunga
Kwa kikosi kipi mkuu, kwa hawa hawa wamakonde kina kichuya[emoji16]
Epl ndiyo ligi inayoongoza kwa kufuatiliwa huko Congo wanakooangalia ligi ya Ubelgiji labda iko huko Nanjilinji
Acha lomoni taja hiyo nchi ambayo Samatta kawa mfungaji bora acha kuzunguka zunguka
Wadau wa JF,
Habari ndugu zangu, kwanza kabisa nawapongeza taifa kwa kwenda kushiriki afcon 2019 nchini Misri japo kimazabe.
Leo nimemsikia Samatta akisema wanaenda kucheza michuano hiyo kwa lengo la kuleta heshima kwa Tanzania na Awamu ya tano ya uongozi huu.
Kama ni kwa ajili ya Tanzania, nampa big up. Lakini kaniboa kuitaja wanaenda kucheza kwa ajili ya serikali ya awamu hii ya tano.
Hivi Samatta hajajifunza kuzungumza kwenye media au na yeye anaupata ukichaa, maana pembeni yake alikuwepo Juliana Shonza.
Huyu dada ni Naibu Waziri Wa Michezo sijui, au ndiyo naye ameamua kumuambia azungumze hivyo?
Basi Taifa Stars itarudi mapema sana nyumbani na haitafika mbali kwa sababu kapteni wao kashaanza kuwagawa Watanzania.
Acha urongo wewe mfungaji bora ni yule mtunisia mwenye goli 25Belgium pro league 2018/19 Magoli 20 na Timu yake ya KRac Genk ndiyo Bingwa wa ligi ya Ubeligiji msimu wa 2018/19.Kumbuka ligi hiyo ndiyo imewazalisha akina Lukaku,Hazard nk.....