Mbwana Samatta ni mchezaji wa kawaida sana anakuzwa mno

Mbwana Samatta ni mchezaji wa kawaida sana anakuzwa mno

Sijawahi mkubali huyo Mbwana samata na naona ana kiwango cha kawaida tu.
Asa wewe ni sawa useme Ronaldo hajui kisa kutolewa na Ajax huko juventus alipohamia.
Ilhali team chemistry ni mbovu.
Mbona anawatia kamba wabelgiji km kiwango chake cha kawaida?!
Unajua mpk yeye kuchukua Ebony award usichukulie poa.
Kinachomkabili Samatta ni km kinachomkabili messi.
Team za taifa mbovu uchwara mnalaumu uwezo mzury wa wachezaji kana kwamba wanacheza peke yao.
 
Kweli Mkuu.
Anavyozungumzwa na baadhi ya media hapo Tz, ni tofauti sana na uhalisia wake akiwa kwenye pitch.

Ni wakawaida sana, sijui labda huko ubelgij
Ubelgiji na Tanzania tunalingana kimaendeleo?
Ndiye mfungaji Bora katika Ligi ya ubelgiji Kama Kagere( tz) Messi( Spain) Salah,Manne,aubameyang( England).
Ndiye mchezaji Bora mweusi ubelgiji.
Kasaidia Genk kuwa mabingwa.
Atacheza UCL Mwaka huu.
Wa kawaida kumlinganisha na Nani?
Wapi? Kwa kipindi kipi?
 
Samatta anakuzwa na wanasiasa ni mchezaji wa kawaida sana.....hata yeye mwenyewe Samatta analielewa hilo!nia yake ya kukimbilia kucheza EPL tena timu kama Brighton ni udhibitisho tosha kabisa....angekuwa na "kiwango"angeanza kuota kuzichezea ManU,Mancity,Liverpool,Arsenal,Chelsea,nk!
 
Mawazo yako hatuwezi kuyaingilia,lakini dunia inamtambua kama SAMAGOAL,hata vilabu maarufu pale UK wanapigana vikumbo kutaka kumsajili kwakuwa wanatambua uwezo wake sio wa kawaida.....
 
Back
Top Bottom