Mbwana Samatta: Nina wazo kwanini Dar isibadilishwe jina ikaitwa Kolomije

Mbwana Samatta: Nina wazo kwanini Dar isibadilishwe jina ikaitwa Kolomije

Mbwana Samatta alipofikia ni kama Entity ya kibiashara, anahitaji kila aina ya support toka kwa kila mtu na kila taasisi. Mbwana anaweza kuja kuwekeza kibiashara hapa nyumbani TZ hasa DSM, huku anahitaji ardhi,leseni za kibiashara, na kusajiri kampuni na kuhitaji endorsement ya serikali na ya taasisi binafsi kama za kanisa la Gwajima na Clouds FM. Atahitaji hizo leseni na ardhi toka serikalini na atatakiwa alipe kodi serikalini. unadhani atakuwa na mazingira rafiki ya kibiashara kama ataingia utata(kuchukiwa) na wenye dhamana huko serikalini wale ambao wako nyuma ya Makonda? Hata akifungua academy ya michezo au hospital kama wenzake akina Kanu, Adebayor, Etoo na Drogba anahitaji usajiri/vibali vya serikali. Hawezi kuingiza container la vifaa vya biashara zake au academy bila kufanya tax clearance serikalini na huko hujui nani yupo nyuma ya Bashite. Haya machache lakini yapo mengi wengine watakuja kuchangia. unafikiri kwanini IPP media hawashabikii sana hizi habari za Bashite? Unafikiri hawataki kuuza sana magazeti yao au wanampenda sana Bashite? je wewe una akili sana ya Biashara kuliko Mzee Mengi na washauri wake? Au Mzee Bhakresa? au Mo? Umemuona Manji au umemuona Mbowe na yanayowakuta unayajua? Sio lazima ukosoe kila kitu bila tafakari!! Kuna mengine yamewazidi upeo wenu wa kufikri na uelewa kuhusu biashara na kufanya vitu na Jamii au media au na Kaisari mwenye dola.
cc: magnifico
Ndivyo sheria inavyosema? Ukimkosoa au kupingana na kiongoz hupewi vibali halali vya kufanya shughuli zako halali?
JF kuna watu wajinga sana
 
Nina wasiwasi na umri wako, elimu ayko na uelewa wako wa ulimwengu wa kibiashara huria. Myu asie mwerevu akiniita mjinga mimi sirudishi tusi bali namjibu kwa busara kama hivi ninavyokujibu hapo chini soma vizuri uelewe ujifunze:

Mbwana Samatta alipofikia ni kama Entity ya kibiashara, anahitaji kila aina ya support toka kwa kila mtu na kila taasisi. Mbwana anaweza kuja kuwekeza kibiashara hapa nyumbani TZ hasa DSM, huku anahitaji ardhi,leseni za kibiashara, na kusajiri kampuni na kuhitaji endorsement ya serikali na ya taasisi binafsi kama za kanisa la Gwajima na Clouds FM. Atahitaji hizo leseni na ardhi toka serikalini na atatakiwa alipe kodi serikalini. unadhani atakuwa na mazingira rafiki ya kibiashara kama ataingia utata(kuchukiwa) na wenye dhamana huko serikalini wale ambao wako nyuma ya Makonda? Hata akifungua academy ya michezo au hospital kama wenzake akina Kanu, Adebayor, Etoo na Drogba anahitaji usajiri/vibali vya serikali. hawezi kuingiza container la vifaa vya biashara zake au academy bila kufanya tax clearance serikalini na hukomhujui nani yupo nyuma ya Bashite. Haya machache lakini yapo mengi wengine watakuja kuchangia. unafikiri kwanini IPP media hawashabikii sana hizi habari za Bashite? Unafikiri hawataki kuuza sana magazeti yao au wanampenda sana Bashite? je wewe una akili sana ya Biashara kuliko Mzee Mengi na washauri wake? Au Mzee Bhakresa? au Mo? Umemuona Manji au umemuona Mbowe na yanayowakuta unayajua? Sio lazima ukosoe kila kitu bila tafakari!! Kuna mengine yamewazidi upeo wenu wa kufikri na uelewa kuhusu biashara na kufanya vuta na Jamii au media au na Kaisari mwenye dola.
Kwahiyo wewe una akili kuliko Samatta au Manji!
Jamaa hajakosea kukuita mjinga kwa ulichoandika halafu unakiita busara. Kwan sheria inasemaje kuhusu kupata vibali vya kufanya shughuli halali?,inasema ukimkosoa kiongozi hupewi vibali au!?
 
Kwahiyo wewe una akili kuliko Samatta au Manji!
Jamaa hajakosea kukuita mjinga kwa ulichoandika halafu unakiita busara. Kwan sheria inasemaje kuhusu kupata vibali vya kufanya shughuli halali?,inasema ukimkosoa kiongozi hupewi vibali au!?
Nilifikiri kuna watu watakuwa wamejifunza kitu jinsi Manji alivyorudisha baadhi ya vitu baada ya kutoka jela.

Wewe huwezi jadiliana na mimi sababu nadhani una akili nyingi sana na unajua mengi kuhusu biashara na dunia kiujumla.

Upo vizuri Great thinker, mjinga kama mimi sistahili hata kukubishia neno moja.
 
Nilifikiri kuna watu watakuwa wamejifunza kitu jinsi Manji alivyorudisha baadhi ya vitu baada ya kutoka jela.

Wewe huwezi jadiliana na mimi sababu nadhani una akili nyingi sana na unajua mengi kuhusu biashara na dunia kiujumla.

Upo vizuri Great thinker, mjinga kama mimi sistahili hata kukubishia neno moja.
Mpumbavu mkubwa!!!. Jibu swali sheria inasemaje?
 
Bora Kolomije kuliko Dar es Salaam, neno la Kiarabu.

Mji Mkuu wa nchi kama Uingereza, Ujerumani, Marekani na nchi za watu wanaojielewa, wanaojithamini, huwezi kukuta wanatumia jina la Kichina.

Hakuna Ulaya nzima mji unaitwa Huanzou Chou Ching!

Lakini Mwafrika ndio zuzu wa dunia, bahari yake anaiita Indian Ocean, ziwa analiita Lake Victoria, mji wake Dar -es-Salaam. Huwezi kwenda Uarabuni au India ukakuta mto unaitwa River Tanzania.
Kweli kabisa, ilitakiwa baada ya uhuru tubadilishe kila kitu....

Sent from Jamii Forums using siemens kidole juu.
 
Mpumbavu mkubwa!!!. Jibu swali sheria inasemaje?
Kwanini upoteze muda wako kujadiliana na mtu mpumbavu mkubwa?
Wewe endelea majadiliano na akili kubwa wenzio.

Usijishushe hadhi yako kujadiliana na wapumbavu kama mimi.
 
Kapuuzi haka.....basi kanaona keshakuwa bonge la striker ....na ligi zake za uchochoroni
 
Nina wasiwasi na umri wako, elimu ayko na uelewa wako wa ulimwengu wa kibiashara huria. Myu asie mwerevu akiniita mjinga mimi sirudishi tusi bali namjibu kwa busara kama hivi ninavyokujibu hapo chini soma vizuri uelewe ujifunze:

Mbwana Samatta alipofikia ni kama Entity ya kibiashara, anahitaji kila aina ya support toka kwa kila mtu na kila taasisi. Mbwana anaweza kuja kuwekeza kibiashara hapa nyumbani TZ hasa DSM, huku anahitaji ardhi,leseni za kibiashara, na kusajiri kampuni na kuhitaji endorsement ya serikali na ya taasisi binafsi kama za kanisa la Gwajima na Clouds FM. Atahitaji hizo leseni na ardhi toka serikalini na atatakiwa alipe kodi serikalini. unadhani atakuwa na mazingira rafiki ya kibiashara kama ataingia utata(kuchukiwa) na wenye dhamana huko serikalini wale ambao wako nyuma ya Makonda? Hata akifungua academy ya michezo au hospital kama wenzake akina Kanu, Adebayor, Etoo na Drogba anahitaji usajiri/vibali vya serikali. hawezi kuingiza container la vifaa vya biashara zake au academy bila kufanya tax clearance serikalini na hukomhujui nani yupo nyuma ya Bashite. Haya machache lakini yapo mengi wengine watakuja kuchangia. unafikiri kwanini IPP media hawashabikii sana hizi habari za Bashite? Unafikiri hawataki kuuza sana magazeti yao au wanampenda sana Bashite? je wewe una akili sana ya Biashara kuliko Mzee Mengi na washauri wake? Au Mzee Bhakresa? au Mo? Umemuona Manji au umemuona Mbowe na yanayowakuta unayajua? Sio lazima ukosoe kila kitu bila tafakari!! Kuna mengine yamewazidi upeo wenu wa kufikri na uelewa kuhusu biashara na kufanya vuta na Jamii au media au na Kaisari mwenye dola.
Umemaliza yote kiongozi

Mwenye kuelewa atakuwa amekuelewa

Siasa zina impact kubwa sana kwenye mambo mengi hapa Afrika

Vijana wanafurahia wamepata kinachowapendeza masikioni na machoni mwao!!!!.....

Lakini naamini kabisa kama Mbwana mwenyewe akiusoma ujumbe atajua ubaya wa mambo anayotaka kujinasibisha nayo


Word is enough for the wise
 
Kwani watu hawawezi kujadili ana mambo bila matusi na kejeli.....!!?

Kama mnaona Sawa Samata kutoa maoni yake kama Mtanzania kwanini mnakereka na Watanzania wengine wanaotoa maoni yao..!!!??

Sijui Watanzania uhuru wa kutoa maoni wanautafsiri vipi..!!?

Uhuru wa maoni ni pamoja na kuvumilia kusikia maoni ya wengine ya wengine hata kama yana kinzana na ya kwako!!!....
 
Samatta katika hili umeharibu, siasa zimewavuruga wachezaji wengi, kamuuulize OZIL na mwenzie
 
si vyema kujiingiza huko ,walio karibu naye wamwambie acheze soka hapo atavuna
 
Back
Top Bottom