Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

unataka kuleta manenomaneno kama kwenye ligi zetu hapa bongo? kule hawaangalii umechekecha mpira kiasi gani ila je goli lako linawarudisha nyumbani na point 3? kawaulize spain waliokuwa wakichekecha mpira kombe la dunia walirudi na nini.
Mzee umenifuraisha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sasa magoli yote hayo ni bahat...basi samata atakua ni mwenye bahat sana yani kila mechi ni mbahatishaji nimeshanga sana jinsi ulivyo kua na roho mbaya kumpa credits kijana wa kitanzania inakukondesha nini

Sent using Jamii Forums mobile app
wala sijataka mipasho....usibishane wakati mechi za Genk huziangalii...sanasana unawategemea akina Shafii Dauda waweke viclip Insta.....anza kuangalia then uje na huo ubishi wako wa kipuuzi
 
Kuna yule jamaa wa RB LIEPZIG ya Ujerumani mwenye asili ya Tanzania YUSUPH POULSEN.
Ukimtazama hata mchana kweupe utagundua hata AJIBU anamtoa namba lkn yuko BUNDESLIGA anakula noti.
Kwa ufupi SAMATTA anauwezo wa kucheza Ligi kubwa mbali na BELGIUM.. kuna players ukiwaona viwango vyao na klabu anayocheza ..unaweza kusema kwao ni WACHAWI ..
kwa jinsi Genk wanamtumia Samatta wao wanaona anafaa..
 
Wazungu hawamini kitu kinaitwa bahati,haya mambo ya bahati yako Afrika na sehemu nyengine za dunia lakini sio wazungu,...Kama wazungu wamemuona na kumchukua katika zao basi wameona uwezo wake...
Tatizo una inferior complex ndio maana unaleta upuuzi wa kuwataja wazungu...Idiot!!!
 
Samatta ana bidii sana na yupo committed ila upande wa kipaji ni wa kawaida sana, yan huwez hata kumfananisha na striker wa mtibwa Kelvin Kongwe Sabato "KIDUKU"

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ukweli unabaki palepale....jamaa anabebwa na bahati ila mguuni wa kawaida sana!
 
Wabongo tunajuana right roho zetu

Huwa nawaza Ingekuwa Huku kwetu ndio Ulaya kuna Mzungu tungemruhusu kutia pua Kama wenyewe Kwa wenyewe tuko hivi?
Soma mada vizuri....bila shaka umesoma tittle tu na ukaanza kuflow comment
 
Tatizo una inferior complex ndio maana unaleta upuuzi wa kuwataja wazungu...Idiot!!!
Kaka huo ndio ukweli,hakuna "bahati" kuna kujituma,wazungu wametuzidi kwa kila kitu,sina "inferior complex",isipokuwa nawaheshimu,sijui kama unajua nini maana ya hili neno "inferior complex",kwasababu halileti maana katika haya tunayoyaongelea katika hii mada
 
Nayaheshimu mawazo yako.

sipo hapa kumfurahisha mtu. Over.
 
Wewe bahati huna?

Unayo?

Upo timu gani?
wee nawe sio mzima...so kila anayetoa analysis ya mpira ajibiwe hivyo? Kwamba positive views ni sawa ila negative ni kosa?...acha ushamba mdau!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…