magnifico
JF-Expert Member
- Jan 14, 2013
- 11,075
- 24,634
Kuna yule jamaa wa RB LIEPZIG ya Ujerumani mwenye asili ya Tanzania YUSUPH POULSEN.
Ukimtazama hata mchana kweupe utagundua hata AJIBU anamtoa namba lkn yuko BUNDESLIGA anakula noti.
Kwa ufupi SAMATTA anauwezo wa kucheza Ligi kubwa mbali na BELGIUM.. kuna players ukiwaona viwango vyao na klabu anayocheza ..unaweza kusema kwao ni WACHAWI ..
kwa jinsi Genk wanamtumia Samatta wao wanaona anafaa..
Nimeacha rasmi kula msuba.