Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Mbwana Samatta uwezo wake wa kawaida Mno, Anabebwa na bahati tu!

Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.

Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.

Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).

Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.

Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.

NB: Kama itaonekana sina haki ya kumkosoa Huyu dogo Basi no one has a right to critisize my opinions too.
Basi Kama ni hivyo mpaka Leo angekuwepo mbagala market!
Wewe hadi sasa anahusishwa kujiunga na ligi kubwa za Dunia bado unasema hana Lolote?
Mmoja Kati ya wafungaji bora kwa sasa1st ligi ya ubelgiji ....
 
Basi Kama ni hivyo mpaka Leo angekuwepo mbagala market!
Wewe hadi sasa anahusishwa kujiunga na ligi kubwa za Dunia bado unasema hana Lolote?
Mmoja Kati ya wafungaji bora kwa sasa1st ligi ya ubelgiji ....
Kumbuka hata Lukaku yupo Man U lakini hilo halimfanyi kuonekana bora . Samatta ni mchezaji wa kiwango cha Chini kulinganisha na mtu hata Emmanuel Okwi.. Bahati tu inamsaidia
 
Kumbuka hata Lukaku yupo Man U lakini hilo halimfanyi kuonekana bora . Samatta ni mchezaji wa kiwango cha Chini kulinganisha na mtu hata Emmanuel Okwi.. Bahati tu inamsaidia
Jamani njoon mnisaidie kushangaa nazan nimaon yako co mbaya ila taaira cmmpaka atoe ute
 
Hapa tunaongelea uwezo binafsi wa mtu...kuanzia strategies, Skills and all techniques za standard footballer...unaweza ukachukuwa tuzo au ukabahatika kucheza ulaya ila ukawa na kiwango cha kawaida sana...usikariri Aisee Samatta ni Player wa Kawaida mno.
Na kweli Okwi alitwaa tuzo ya Mchezaji bora wa Africa Kwa wachezi wa ndani, afu amecheza sana Europa
 
Ndo maana nkasema skills za Okwi zimemsaidia kupata hayo niliyotaja
Kama ulikuwa makini kusoma uzi na tittle yake utakutana na neno "bahati" ..nadhani umeelewa effect ya bahati inavyopindua historia...Okwi is better than Samatta technically..the only difference is that, Okwi had/has missed a chance to play in Europe but he could do so in any big European league.
 
Ndo maana nkasema skills za Okwi zimemsaidia kupata hayo niliyotaja
Naweza kusema Okwi amekosa bahati ya kuwa Pro. Player in Europe but he could do better kama angepata nafasi.
 
Anabebwa na timu yake, ye uwezo wake wa kawaida. Tangu avalishwe hii tshirt, hajafunga hata goli moja
aisee hii forward butu sana...😂😂😂hiyo jezi alipopewa tu akawa garasa zaidi ya Mavugo.
 
Tunamtakia kila la heri lkn aongeze juhudi, asilewe sifa na kuwa mzito kama amebeba furushi
Lakini still wa pili anazidiwa goli moja na anayeongoza, so anaweza pindua matokeo, na Anaweza beba ndoo ya ligi hivi vyote vinamuongezea CV
 
Nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa Mbwana Samatta Tangu alivyotua katika Club ya KRC Genk ya Belgium akitokea TP Mazembe ya DRC.

Kiukweli jamaa kiwango chake ni cha kawaida sana na anabebwa sana na bahati kubwa aliyonayo kwani performance yake haitishi sana.

Ukiangalia magoli anayofunga asilimia kubwa ni ya kawaida sana yasiyo na ufundi (hufunga zaidi kwa kichwa na asilimia kidogo kwa mguu na setpieces).

Kwa namna soka la Ulaya lilivyokuwa na ushindani hasa kwa mabeki wakatili (kama akina Pepe) sioni Samatta akifanya lolote mbele yao, kwani mbinu zake mguuni hazitishi mabeki na ni za kawaida sana.

Mnyonge mnyongeni, haki yake mpeni.....Jamaa some how Anajitahidi na anaendelea kujitahidi kwani ameonesha ujasiri na amekuwa Idol kwa Vijana wengi wenye ndoto za mafanikio kwenye soka kama ya Samatta.

Kama ataweza kuuona uzi huu au aambiwe na mtu wake wa karibu aliyeko humu basi nimwombe ndugu yangu Samatta, aongeze zaidi juhudi na ajifunze mbinu nyingi za kufunga kwani yeye kama forward kazi yake uwanjani ni magoli tu na si vinginevyo. Bila kisahau Kujisahau na Kuvimba kichwa akuepuke sana kwani magazeti ya bongo yanapamba wachezaji hadi wanakuwa under pressure na mwishowe huharibu carrier yao.

NB: Kama itaonekana sina haki ya kumkosoa Huyu dogo Basi no one has a right to critisize my opinions too.
He is back
 
Back
Top Bottom