Hazard CFC
JF-Expert Member
- Apr 7, 2015
- 16,627
- 38,689
Nilimaliza week 1 bila kufanya mapenzi!
nikajiona star na nimewini!
week ya 2 nikashangaa Hali imezidi kwa Kasi kuliko mwanzo.
Naona mwaka Huu Nime advance kwenye kufanya mapenzi
Hakikaa mkuu ni ngumu sana kunywa bia za kujipangia mda....Hatutofautiani sana Mkuu!
Niliamua kuacha bia na kujitahidi niwe narudi nyumbani mapema,na niwe nasoma sana vitabu!
Ila nimeshindwa Mkuu bia tamu sana!
Kabisa Mkuu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Nilimaliza week 1 bila kufanya mapenzi!
nikajiona star na nimewini!
week ya 2 nikashangaa Hali imezidi kwa Kasi kuliko mwanzo.
Naona mwaka Huu Nime advance kwenye kufanya mapenzi
Mie bado nakomaa tuu...
Sijaona la kunirudisha nyuma kabisaaa ila naongeza speed!
Hahaha hahaha
Write your reply...
Me nilidhamiria mwaka huu kusoma Biblia nikaanza na mbwembwe saiv wiki ya tatu cjasoma licha kueka alarm ya na ratiba juu..
Eeh..Mungu nisamehe
Tabia hujenga mazoea ungekomaa ungeweza tuKufanya mazoezi.kusoma E-Books na meditation mkuu " mnamo mwezi wa 11 mwaka jana baada ya kusikia mawaidha katika station ya radio fulani hivi online ...
Basi nikajikuta na hamasika sana kufanya hivyo vitu tajwa hapo kwenye Aya ya kwanza "....
Basi haraka harak bila ya kuchelewa ni kakaa chini na ku-create upya ratiba yangu " Ambayo ilikuwa inanilazimu kuamka saa 9:40 usiku "....... nikawa natekeleza hivyo vyote kwa kufuata mtiriliko wa ratiba " kisha baada ya hapo ndio najiandaa kwenda katika pilika zangu za kila siku ....
Mmh --, bahati mbaya ni kwamba sasa hivi nina week ya pili nimeshindwa kudumu katika program yangu "
Roho inaniuma
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi nimeweka alarm ' chaajabu ikiianza kuita nikistuka naikata .. Then naendelea kulala tuWrite your reply...
Me nilidhamiria mwaka huu kusoma Biblia nikaanza na mbwembwe saiv wiki ya tatu cjasoma licha kueka alarm ya na ratiba juu..
Eeh..Mungu nisamehe
Nitajitahidi ..... tatizo nilihama makazi " so kuna vifaa vyangu vya kufanyia mazoezi hata sijui nilipo viweka "...... na sijapata time ya kuvitafuta
Write your reply...
Me nilidhamiria mwaka huu kusoma Biblia nikaanza na mbwembwe saiv wiki ya tatu cjasoma licha kueka alarm ya na ratiba juu..
Eeh..Mungu nisamehe
Bebe inamaana bia ni tamu kuliko mimi!![emoji134][emoji134]Hatutofautiani sana Mkuu!
Niliamua kuacha bia na kujitahidi niwe narudi nyumbani mapema,na niwe nasoma sana vitabu!
Ila nimeshindwa Mkuu bia tamu sana!