Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 86,410
- 169,862
Unakomaa na ujambazi gani auntie?Mie bado nakomaa tuu...
Sijaona la kunirudisha nyuma kabisaaa ila naongeza speed!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unakomaa na ujambazi gani auntie?Mie bado nakomaa tuu...
Sijaona la kunirudisha nyuma kabisaaa ila naongeza speed!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Dah, wewe upo kama mimi nilipanga mwaka huu ni kusoma biblia na kupata muda wa kuzungumza na Mungu kila siku kabla sijalala, lkn toka wk iliyopita sijafanya hicho kitu. Narudi nimechoka hata kushika biblia shida.
Be Humble is free of charge [emoji873]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unakomaa na ujambazi gani auntie?
Hapana bebee!Bebe inamaana bia ni tamu kuliko mimi!![emoji134][emoji134]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mi nilipanga kutunza pesa kwa kibubu mweeh nimekibomoa sijui nifanyaje.
Sent using Jamii Forums mobile app
Niambie tu auntie, sitokuchapa vidio kolu wangu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Yaani mecheka saaaana auntie
Hayo ndio mambo sasa bebe, hebu tuwe tunaenda wote kunywa maana haiwezekani ufaidi peke yako.Hapana bebee!
Aisee siwezi nikakulinganisha na vitu vya kijinga kabisa bebee
ha ha ha we acha tu.nilipta chat moja hivi yaan leo ukiweka elfu kumi,kesho 20,then 30 nikaweka siku 15 mmmh nimevunja nakwambia shidaah..[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Hii kitu sijawahi kufikiria kukifanya.
Hapo sawaa bebeeHayo ndio mambo sasa bebe, hebu tuwe tunaenda wote kunywa maana haiwezekani ufaidi peke yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]ha ha ha we acha tu.nilipta chat moja hivi yaan leo ukiweka elfu kumi,kesho 20,then 30 nikaweka siku 15 mmmh nimevunja nakwambia shidaah..
Sent using Jamii Forums mobile app
Oooh kumbe!! Sasa mbona huwa huniambii twende wote? Au huwa unakuwa na nani?[emoji134](wivu sinaaa.....[emoji443][emoji441])Hapo sawaa bebee
Maana Bia inashuka vizuri saana ukiwa na bebee pembeni
Hahaa yaani kweli tupu unasali huku unasinzia[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kama nakuona ukianza kusali unaamka asubuhi kusema Amen!
AkuuuuNiambie tu auntie, sitokuchapa vidio kolu wangu.
Hahaha!Oooh kumbe!! Sasa mbona huwa huniambii twende wote? Au huwa unakuwa na nani?[emoji134](wivu sinaaa.....[emoji443][emoji441])
Mmmmmh!!![emoji848]Hahaha!
Bebee huwa nipo peke yangu,naonaga tu kwa wenzangu jinsi bia zinavyoshuka wakiwa na mabebee zao!
Na mimi nataka kufurahi pia kama wenzangu bebee!
Mbona unaguna bebee?Mmmmmh!!![emoji848]
[emoji849]Akuuuu
Najiwazia tu jinsi unavyonidanganya bebee.Mbona unaguna bebee?
@Mo11Najiwazia tu jinsi unavyonidanganya bebee.