Mbwembwe gani ulianza nazo mwaka??

Mbwembwe gani ulianza nazo mwaka??

Dah, wewe upo kama mimi nilipanga mwaka huu ni kusoma biblia na kupata muda wa kuzungumza na Mungu kila siku kabla sijalala, lkn toka wk iliyopita sijafanya hicho kitu. Narudi nimechoka hata kushika biblia shida.



Be Humble is free of charge [emoji873]
Shetani yupo kazini Mungu atusaidie
 
Back
Top Bottom