Mbwembwe gani ulianza nazo mwaka??

Mbwembwe gani ulianza nazo mwaka??

Mmmh hivi unaamini hayo mambo?
Dah, wewe upo kama mimi nilipanga mwaka huu ni kusoma biblia na kupata muda wa kuzungumza na Mungu kila siku kabla sijalala, lkn toka wk iliyopita sijafanya hicho kitu. Narudi nimechoka hata kushika biblia shida.



Be Humble is free of charge [emoji873]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Barua za kujiunga chaputa mwaka huu ushachukua?
Mke yupo mbali kimasomo,kwa hiyo nna utaratibu kujilipua nyeto pale hamu inapozidi.toka mwaka desemba 23 na kuendelea mpaka mwaka huu niliweka nadhiri ya kuacha huu mchezo,ngoma imekwenda mpaka jumamosi ya juzi,nikaona. Kwanini niteseke? Nikafungulia bomba,chapa goli nane jumamosi,mbili jumapili,na leo moja, hii tabia naichukia sana ,kuchepuka hapana siwezi msaliti mke wangu,nikifanya mazoezi hamu ndio inazidi mana mwili unakuwa hot kabisa.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom