nyie mnabishana na mtu aliyeweka thread mwezi wa tisa mwaka jana?wakati ndo nyimbo inaanza kutoka..ajiulize saiv imefikia wapi?na imepokelewa vipi...acheni nae..aliisikilizia kwenye kamkulima chache cha urithi....diamond anajitahidi sanaaa....nimependa swag ya huu wimbo wake mpya...wanajitahidi hawa wasanii wetu jamanii.wasibweteke wakazo buti...