mdukuzi
JF-Expert Member
- Jan 4, 2014
- 20,925
- 51,688
Kuna mada humu iliwahi kuletwa kuhusu mbwiga wa Clouds FM kushindwa kusoma, jana imethibitika kashindwa kusoma magazeti kwenye kipindi cha Power Breakfast akasingizia macho hayaoni.
Mimi naweka dau la laki tano akiweza kusoma ukurasa mmoja wa kitabu cha Juma na Rosa.
Mimi naweka dau la laki tano akiweza kusoma ukurasa mmoja wa kitabu cha Juma na Rosa.