Teko Modise
JF-Expert Member
- May 20, 2017
- 2,331
- 7,733
Mbwiga wa Mbwiguke mdomo mwingi lakini uwezo wake wa kuandika upo chini sana. Yeye kama mtu maarufu, inabidi atafute mtu wa kumuandikia huko mitandaoni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sawa.Mbwiga wa Mbwiguke mdomo mwingi lakini uwezo wake wa kuandika upo chini sana. Yeye kama mtu maarufu, inabidi atafute mtu wa kumuandikia huko mitandaoni.View attachment 2765979View attachment 2765980
Niliwahi kusikia anasema ni sekondari Pugu mkuuNasikia jamaa alisoma primary shule ya kijanja akiwa na Boss Jo, iweje mtu amalize la saba ya zamani lakini ashindwe mambo madogo hivo, au ndo wale wasela wa Enzi hizo
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Basi tulaumu mifumo yetu ya Elimu kuruhusu mtu kwenda mbele kabla hajamudu ya nyumaNiliwahi kusikia anasema ni sekondari Pugu mkuu
😂😂🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wale wale wa ulisi
...... tena ile Elimu ya watu wazima ali maarufu EWW!!Mbwiga inatakiwa turudi skonga
Na kwanini mtu usijue kusakata rhumba wakati jirani yako nipo na najua? Gonga geti uje mazoezi.Mimi sijui kusakata rhumba, sasa ili kukomesha hua nikienda band sinyenyukagi kavisaaaaa zaidi ya kusikiliza....🤣
Kwahiyo hapo nakua najitunzia heshma yangu kidogo..😊