Mbwiga wa Mbwiguke aombe msaada wa kuandikiwa kwenye mitandao ya kijamii

Mbwiga wa Mbwiguke aombe msaada wa kuandikiwa kwenye mitandao ya kijamii

Na kwanini mtu usijue kusakata rhumba wakati jirani yako nipo na najua? Gonga geti uje mazoezi.

Halafu jirani punguza ulevi, ona ulivoandika.

Anyways, mwabieni mbwiga si razima kuhandika handika mtandahoni.
Dahhhh....🤣🤣🤣
Kweli mwenye bahati habahatiki, yaani nilikua nimezima kwenye kiti hapa Platinum na ndio naamka saizi....😑
Sasa nikija saizi nitakua nimechelewa au...🤔
 
Dahhhh....🤣🤣🤣
Kweli mwenye bahati habahatiki, yaani nilikua nimezima kwenye kiti hapa Platinum na ndio naamka saizi....😑
Sasa nikija saizi nitakua nimechelewa au...🤔
Platinum ipi? area C, mataa, au keep left. ningekufata nikubebe (mi kuweza)

Hili jambo la wewe kuzima huko linahitaji kikao cha wana mtaa 😂😂😂

Definitely, umechelewa mazoezi!
 
Kuna mwenzio alijatahidi kunibebe mbeleko hadi ikachanika....🤣
Sa skuizi najiona kama sibebeki...😔
Nilikua Platinum ya Area-D
 
Sio kusaidiwa kuandika tu ila anatakiwa asitumie pia mitandao ya kijamii kwa umri wake.
 
Back
Top Bottom