Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Forodhani enzi hizoNasikia jamaa alisoma primary shule ya kijanja akiwa na Boss Jo, iweje mtu amalize la saba ya zamani lakini ashindwe mambo madogo hivo, au ndo wale wasela wa Enzi hizo
Sent from my TECNO KD6 using JamiiForums mobile app
Dahhhh....🤣🤣🤣Na kwanini mtu usijue kusakata rhumba wakati jirani yako nipo na najua? Gonga geti uje mazoezi.
Halafu jirani punguza ulevi, ona ulivoandika.
Anyways, mwabieni mbwiga si razima kuhandika handika mtandahoni.
zamaladi😆🤣🤣🤣🤣🤣🤣 wale wale wa ulisi
Platinum ipi? area C, mataa, au keep left. ningekufata nikubebe (mi kuweza)Dahhhh....🤣🤣🤣
Kweli mwenye bahati habahatiki, yaani nilikua nimezima kwenye kiti hapa Platinum na ndio naamka saizi....😑
Sasa nikija saizi nitakua nimechelewa au...🤔
Standard 4 failureMbwiga wa Mbwiguke mdomo mwingi lakini uwezo wake wa kuandika upo chini sana. Yeye kama mtu maarufu, inabidi atafute mtu wa kumuandikia huko mitandaoni.View attachment 2765979View attachment 2765980
Wewe kweli Msaga Sumu [emoji23]Kama hana mtu wa karibu kumsaidia kuandika amcheki mume wake Zamaradi,jamàa huwa roho safi Sana anaweza kumpa tag bila malipo
Maana ulicho kifanya huko mpiga miti village ni balaa😄😃😃Mimi sijui kusakata rhumba, sasa ili kukomesha hua nikienda band sinyenyukagi kavisaaaaa zaidi ya kusikiliza....🤣
Kwahiyo hapo nakua najitunzia heshma yangu kidogo..😊