MC Alger anafungwa atake asitake. Yanga isiposhinda nipigwe ban ya wiki

MC Alger anafungwa atake asitake. Yanga isiposhinda nipigwe ban ya wiki

Chizi Maarifa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2013
Posts
10,931
Reaction score
24,816
Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.

Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.

Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.

YANGA BINGWA.
 
Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.

Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.

Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.

YANGA BINGWA.
Utajua hujui dakika 2 kutoka sasa
 
Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.

Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.

Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.

YANGA BINGWA.
Pole Yanga mwenzetu!
Mpira wadunda!
Next year bro!
 
Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.

Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.

Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.

YANGA BINGWA.
Wewe Chizi/Mwendawazimu uko wapi tukupe haki yako ya kutandikwa bakora? Mpuuzi mmoja wewe. Huu uropokaji unazidi kuongezeka siku za karibuni hapa JF.
 
Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.

Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.

Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.

YANGA BINGWA.
Active, BlackBold, Boqin, Bridger, Payge, celix, Cookie, Diversity, Fang, Fixer, Innovator, Maxence Melo, Mhariri, Moderator, NightCrawler na Paw
 
Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.

Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.

Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.

YANGA BINGWA.
Moderator do the needful kwa mtu huyu.
 
Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.

Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.

Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.

YANGA BINGWA.
Moderator Paw kula kichwa hiki...
 
Back
Top Bottom