Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 19,687
- 23,689
MwanakikundiHuyu mod atakuwa mwakarobo maana ni mkuda sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MwanakikundiHuyu mod atakuwa mwakarobo maana ni mkuda sana
Ahahhh gusa achia huko ni pa moto turudi nyumbaniGusa achia, turudi ligi kuu 😂
Alishakula ban kitambo 😁😁😁Active kuwa makini saa 12 utoe ban ya 2 week's
Si mnaomba wenyeweWatu mnaroho mbaya aisee🙄
Huwa tunataniaSi mnaomba wenyewe
Eheee, ukawaje?,Dk za lala salama nilisikia mwamba anamwambia kocha toka jukwaani"Kocha toa Nzegeli ingiza kibu ndio mida yake hii" nikasema eh maumivu ni makali mnoKweli wewe ni chizi, ila badili uwe chizi utopolo.
Watu wamekula kiapo cha kaziHuwa tunatania
Huyo mod atakuwa uto usimteteeWatu wamekula kiapo cha kazi
Punguza kamdomoHuyo mod atakuwa uto usimtetee
Shida haya mambo mkiona anayafanya Mnyama mnahisi ni rahisi tu! Aya toka mafichoni huko we chura nikulambe viboko 14, hayo ya ban nawaachia mods.Haiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Mashabiki wa utopolo wanaongoza kwa ban za kujitakia
Piga bani kasongo huyuHaiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Hakuna nomaPole Yanga mwenzetu!
Mpira wadunda!
Next year bro!
Chizi unapoona mnyama anafanya haya mambo Kwa miaka sita unaona ni rahisi sana ,utajifunza tuHakuna noma