passioner255
JF-Expert Member
- Apr 22, 2019
- 6,192
- 11,897
Piga ban harakaHaiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Na kikapikwe supu kwa ajili ya utopolo wenzake wafute machozi.
Moderator njoo ule kichwaHaiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Saa hizi ametulia kidimbwini anatuchora kwa jicho moja huku anatetemeka.Piga baaaan
Piga baaaaan
Piga,baaaan topolo hili
Mwakarobo ππππHaiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Unaongelea Yanga ipi we chuziYanga leo inashinda si chini ya bao 2.
Vipi kuhusu ile bilion 1 mnaonaje πΈπΈ wakiandamana kumshinikiza GSM awape tu japo wametolewa....Na kikapikiwe supu kwa ajili ya utopolo wenzake wafute machozi.
Wataishia kukusanywa,kupikiwa makande na kachumbari tu.Wakila wanafurushwa warudi makwao haraka.Vipi kuhusu ile bilion 1 mnaonaje πΈπΈ wakiandamana kumshinikiza GSM awape tu japo wametolewa....
Wastaafu wamemwaga damu na jasho kupambana ila ndio hivyo tena boss awape tu hiyo hela wapoze maumivu.
Active ishi nae huyu wiki tu akajifunze AdabuHaiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.
Huyu mwandishi wa hii habari na yeye ni Utopolo. Ati Yanga amefikisha pwenti 9
Hivi Ile milioni 500 wastaafu walipewa kweli baada ya kubebwa na msanii janja janja ibenge?Wataishia kukusanywa,kupikiwa makande na kachumari tu.
Ban tayari bado viboko 14 hadharani bila kuvaa suruali uwe na boxa tu pale mwembe yangaHaiwezekani Yanga leo isishinde. Haiwezekani. Yanga leo inashinda si chini ya bao 2. Yaani ushindi upo na ni lazima. Yanga imejipanga kwa hali na mali na kwa kila kitu.
Leo tunashinda. Ubao umetusoma vizuri na wazee wamebariki. Hatoki mtu hapa kwa Mkapa. Nipigwe ban na viboko 14 hadharani nikiwa na mjegeko upo nje wazi wazi kabisa. Na video ichukuliwe.
Isiposhinda Yanga nipewe adhabu hiyo.
YANGA BINGWA.