MC Katokisha atangaza ndoa na baby mama wake, why Vijana waliojipata hawaoi mpaka wazalishe kwanza? Wasiotaka kuzaa kabla ya ndoa wataolewaje?

MC Katokisha atangaza ndoa na baby mama wake, why Vijana waliojipata hawaoi mpaka wazalishe kwanza? Wasiotaka kuzaa kabla ya ndoa wataolewaje?

MELEKAHE

JF-Expert Member
Joined
Nov 19, 2023
Posts
1,340
Reaction score
5,588
Habari wadau.

Kwa wapenzi wa wedding industry jina la MC Katokisha sio geni. ni Mc mmojawapo wa class ya juu anaechaji hela nyingi kwenye soko la harusi. Pia MC Katokisha ni msomi mwenye CPA, na degree za kutosha za chuo kikuu cha Dar es salaam na experience ya kutosha ya big four firm, Ernst and Young kampuni ya kimataifa iliyogundua ufisadi wa EPA BOT ndio mwajiri wa MC Katokisha.

MC Katokisha ametangaza kufunga ndoa na mchumba wake, mama wa watoto wake wawili. mdada mrembo mzuri. na harusi hiyo inategemewa kufungwa mwezi huu.
mckatokisha_1718316973089(1).jpeg


Wadau wengi wameleta hoja why vijana waliojipata hawafungi ndoa mpaka wazalishe kwanza?

Wakatoa na mifano MC Garab wakati anafunga ndoa alikuwa ameshamzalisha mkewe pia, wakajiuliza sasa dada zetu walokole mabinti Sayuni ambao hawataki kuzaa kabla ya ndoa, wataolewaje na vijana waliojipata kimaisha? Kama hao vijana hawaoi mpaka wazalishe kwanza?
 
Huyu MC kanistua leo, nilikua najua ni bachelor yaan hana mchumba wala watoto, kumbe kabakiza ndoa tyuu kurasimisha.

Hongera zake, wamependezanaa.

Ngumu sana kijana mwenye hela awe single kabisa. lazima kuna mwanamke nyuma yake aliekutana nae toka yupo kapuku, na huyo mwanamke ndie huwa anaolewa yeye. maana wanaume huwa wanaogopa gold diggers,

Pia ngumu sana kwa mwanaume aliyepita big four awe single at 30s, kwa sababu huko big four staff wenzake cute girls wapo kibao halafu vichwa wana first class darasani

Yaani mwanamke akutane leo na mwanaume aliyejipata kama Millard Ayo halafu kirahisi rahisi tu aolewe nae ni ngumu sana, maana mwanaume anakuwa na hofu na huyo mwanamke
 
ngumu sana kijana mwenye hela awe single kabisa. lazima kuna mwanamke nyuma yake aliekutana nae toka yupo kapuku, na huyo mwanamke ndie huwa anaolewa yeye. maana wanaume huwa wanaogopa gold diggers,

pia ngumu sana kwa mwanaume aliyepita big four awe single at 30s, kwa sababu huko big four staff wenzake cute girls wapo kibao halafu vichwa wana first class darasani

yaani mwanamke akutane leo na mwanaume aliyejipata kama millard ayo halafu kirahisi rahisi tu aolewe nae ni ngumu sana, maana mwanaume anakuwa na hofu na huyo mwanamke
Sikumaanisha kuwa single kabisa, ila mchumba officials, tena had kuzaa nae.
 
Habari wadau.

Kwa wapenzi wa wedding industry jina la MC Katokisha sio geni. ni Mc mmojawapo wa class ya juu anaechaji hela nyingi kwenye soko la harusi. Pia MC Katokisha ni msomi mwenye CPA, na degree za kutosha za chuo kikuu cha Dar es salaam na experience ya kutosha ya big four firm, Ernst and Young kampuni ya kimataifa iliyogundua ufisadi wa EPA BOT ndio mwajiri wa MC Katokisha.

MC Katokisha ametangaza kufunga ndoa na mchumba wake, mama wa watoto wake wawili. mdada mrembo mzuri. na harusi hiyo inategemewa kufungwa mwezi huu.
View attachment 3016850

Wadau wengi wameleta hoja why vijana waliojipata hawafungi ndoa mpaka wazalishe kwanza?

Wakatoa na mifano MC Garab wakati anafunga ndoa alikuwa ameshamzalisha mkewe pia, wakajiuliza sasa dada zetu walokole mabinti Sayuni ambao hawataki kuzaa kabla ya ndoa, wataolewaje na vijana waliojipata kimaisha? Kama hao vijana hawaoi mpaka wazalishe kwanza?
Ziwa la mkewe limepigwa jeck
 
Mbwembwe nyingi mara big four,mara CPA,mara sijui University of Dar es Salaam.wahaya mna misifa sana asee
Point ya msingi ni kwamba anatarajia kufunga ndoa na hawara wake wa muda mrefu.
Asante studio
 
Back
Top Bottom