Nyankurungu2020
JF-Expert Member
- Oct 2, 2020
- 4,170
- 6,757
Shughuli maalum za kiserikali si vigodoro ambalo yeyote anaweza okotwa ndg...Nashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali?
Au ameajiliwa na serikali kwa shughuli hii? Maana mimi binafsi naona ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
Kwa hiyo mikoani hakuna watu wa kufanya kazi hizo?Shughuli maalum za kiserikali si vigodoro ambalo yeyote anaweza okotwa ndg...
Anamaliza pesa za serikali bure.Yeye kuwa mc inaathiri vipi maisha yako?
Matumizi mabaya ya pesa za umma. Kwa nini wasitumike wa mikoani.Shughuli maalum za kiserikali si vigodoro ambalo yeyote anaweza okotwa ndg...
Acha roho mbaya muache mzee ale mashavu, kwakua ana kitu cha ziada maana hawajaona Mc mwingine zaidi ya Nguli huyu.Nashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali?
Au ameajiliwa na serikali kwa shughuli hii? Maana mimi binafsi naona ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
Matumizi mabaya ya pesa za umma.Mleta mada utakua na mimba changa si bure....huu wivu ni wa kike kike
Ma Mc kila mikoa wapo yeye ana nini cha ziada?Acha wivu kwa wanaume wenzio
Kwani huko mikoani hakuna maMc?Yeye kuwa mc inaathiri vipi maisha yako?
Kina MC Pilipili?Kwani huko mikoani hakuna maMc?
Anapewa anawazidi nini?Kina MC Pilipili?
Punguza wivu arifu....... unaelekea stage ya ulozi sasaMatumizi mabaya ya pesa za umma.
Tanzania nzima na mikoa 25 Mc ni yeye tu.Punguza wivu arifu....... unaelekea stage ya ulozi sasa
Duh we mjamaaAnapewa anawazidi nini?