Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,490
- 21,398
Shida ni yeye kusafiri,Ma Mc kila mikoa wapo yeye ana nini cha ziada?
Shida ni gharama za usafiri,
Shida ni hakupi mgao wake?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shida ni yeye kusafiri,Ma Mc kila mikoa wapo yeye ana nini cha ziada?
Pesa ya walipa kodi inatumika vibaya.Shida ni yeye kusafiri,
Shida ni gharama za usafiri,
Shida ni hakupi mgao wake?
Andamana mkuu,Pesa ya walipa kodi inatumika vibaya.
Tunajipanga.Andamana mkuu,
Acha wivu kenge wewe.Nashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali?
Au ameajiliwa na serikali kwa shughuli hii? Maana mimi binafsi naona ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
We fala unadhani mi kenge kama wewe? Mimi hoja yangu ni matumizi ya pesa za umma. Nimuonee wivu ili iweje?Acha wivu kenge wewe.
Nashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali?
Au ameajiliwa na serikali kwa shughuli hii? Maana mimi binafsi naona ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
Ana kashfa moja mbaya sana akiwa Meya wa Manispaa ya DODOMA alidaiwa kutoka na mwanaye wa kumzaa mwenye jina P.Nashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali?
Au ameajiliwa na serikali kwa shughuli hii? Maana mimi binafsi naona ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
Ulitaka atoke na wewe mkuu?Ana kashfa moja mbaya sana akiwa Meya wa Manispaa ya DODOMA alidaiwa kutoka na mwanaye wa kumzaa mwenye jina P.
Kwanza hakusomea hiyo kazi. Hana taaluma nayo. Hayo ni moja ya madudu ya Magufuli. Ni upendeleo wa wazi kwa Naibu Waziri Mavunde. Huyu ni Baba yake.Nashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali?
Au ameajiliwa na serikali kwa shughuli hii? Maana mimi binafsi naona ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
sasa mkuu nakushangaa sana kwanza jua huyo ni mfanyakazi wa serikali ww unajuaje kama hana taaluma nayoNashangaa sana,tena nashangaaa sana,kila shughuli ya serikali huyu mzee ndio anakuwa Mc,hivi mikoani hakuna watu wa kufanya hizi kazi mpaka awe anasafirishwa na serikali?
Au ameajiliwa na serikali kwa shughuli hii? Maana mimi binafsi naona ni matumizi mabaya ya pesa za umma.
angetunukiwa mzaz wako nafasi hiyo usingeyasema hayoKwanza hakusomea hiyo kazi. Hana taaluma nayo. Hayo ni moja ya madudu ya Magufuli. Ni upendeleo wa wazi kwa Naibu Waziri Mavunde. Huyu ni Baba yake.