simba jike
Senior Member
- Mar 23, 2017
- 182
- 537
Tangu juzi kulipotokea msiba wa marehemu seth pilipili amekuwa akipost qoutes mbalimbali kuhusu marehemu, si kitu kibaya ila baada ya hapo ameendelea kupost picha mbalimbali za matukio ya msiba huo zinaoonesha amepigwa kwa simu huku akijinasibu kuwa amehuzunishwa,ameumia na kusikitishwa sana na kifo cha Seth.
Jamani kweli kabisa mtu una huzuni unaweza kupose na kupigwa picha kiasi kile!? Kulikuwa na bunches of media photographers kwanini asingetulia kama wengine akapigwa picha kulingana na matukio!?
**Nilimshangaa zaidi alipoandaa makala ya wasifu wa marehemu na kutaja mpaka ugonjwa uliomuua siku hiyo hiyo ambayo seth alifariki as if alikuwa msemaji wa familia**
Hata mwajiri wake (E-FM) hakudiriki kutoa hiyo taarifa japo kwa sehemu kubwa anahusika katika utoaji wa taarifa za mwajiriwa wake.
Pilipili humpendi Seth hata kidogo coz urafiki ni kustiriana na kujaliana why uanike ugonjwa wa Seth tena mapema kabisa wakati watu bado wapo kwenye taharuki kubwa baada kupokea taarifa ya kifo tena bila haya wala aibu ukaiwahisha hiyo makala you tube ili Seth aadhirike vizuri
Rafiki wa hivi simuhitaji katika maisha yangu.
Pilipili sina chuki binafsi na wewe ila unabore kiki za kijinga kwenye mambo ya msingi hazitakusaidia na zitakupoteza.
R. I. P SETH
Mdau JF
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Jamani kweli kabisa mtu una huzuni unaweza kupose na kupigwa picha kiasi kile!? Kulikuwa na bunches of media photographers kwanini asingetulia kama wengine akapigwa picha kulingana na matukio!?
**Nilimshangaa zaidi alipoandaa makala ya wasifu wa marehemu na kutaja mpaka ugonjwa uliomuua siku hiyo hiyo ambayo seth alifariki as if alikuwa msemaji wa familia**
Hata mwajiri wake (E-FM) hakudiriki kutoa hiyo taarifa japo kwa sehemu kubwa anahusika katika utoaji wa taarifa za mwajiriwa wake.
Pilipili humpendi Seth hata kidogo coz urafiki ni kustiriana na kujaliana why uanike ugonjwa wa Seth tena mapema kabisa wakati watu bado wapo kwenye taharuki kubwa baada kupokea taarifa ya kifo tena bila haya wala aibu ukaiwahisha hiyo makala you tube ili Seth aadhirike vizuri
Rafiki wa hivi simuhitaji katika maisha yangu.
Pilipili sina chuki binafsi na wewe ila unabore kiki za kijinga kwenye mambo ya msingi hazitakusaidia na zitakupoteza.
R. I. P SETH
Mdau JF
Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app