Nilimswanu elo... Nimecheka sana...hiyo lugha ulioitumia INA uasili wa kiswahili..sio ile tunayoitumiaga sisi..but nimejihisi nipo Dom nyumbani aseeeee...sande muwaha barafuAgweee bulahi nhauleee!!Ulimswanoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nilimswanu elo... Nimecheka sana...hiyo lugha ulioitumia INA uasili wa kiswahili..sio ile tunayoitumiaga sisi..but nimejihisi nipo Dom nyumbani aseeeee...sande muwaha barafuAgweee bulahi nhauleee!!Ulimswanoo
Hivi yule ni mwanae kweli?Yes nafahamu je mama wa huyo mtoto yuwapi? au walitenganj
Nimeshuka kwenye page yake,mpaka mwisho nimekuta tena picha ya katoto keupe akisema ka kwake,ndo maana hata huyu nimeweka ?Halafu marafiki zake walikuwa kina Twisa,Juma Pinto,dah nikajiuliza maswali zaidi ukizingatia na alivyokuwa anajiita.Ni binti yake
Alafu ikusaidie nini?Msaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona
Alafu ikusaidie nini?
Sent from my GT-I9500 using JamiiForums mobile app
Hapana ulikuwa peke yakoo tuuuMsaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona
Mpoki atakuwa amefutaAlienichefua ni Mpoki eti leo kampost marehemu akiwa anaumwa kalazwa kitandani akiwa mkondefu kabisa,ila binadamu wengine hawana utu kabisa,Pilipili nae anapost tena video za selfie kabisa,hivi mtu una maumivu kweli utajiselfisha video?Popularity inatafutwa at any cost.
Unashangaa Joni?kaulizie Mzee wa vijisenti[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] joni?
Ha ha ha ha nachapia tu bulahi,ulihaiiNilimswanu elo... Nimecheka sana...hiyo lugha ulioitumia INA uasili wa kiswahili..sio ile tunayoitumiaga sisi..but nimejihisi nipo Dom nyumbani aseeeee...sande muwaha barafu
Ukishibana na rafiki ndo umwage siri zake mtandaoni?Inaelekea walikua marafiki walioshibana ndio maana jamaa kaumia sana.
Kifo hakina huruma.
RIP Seth.
Sasa umeandika niniIzo pic wanapost wapi? Maana sie wengine sio wadau wa fb au insta
Siku ya birthday ya miaka 30 ya Mc Pilipili, Seth alimuandikia series ya jumbe Pilipili ,and that was just birthday.Hili la huyu jamaa kiukweli sijamwelewa mpka kanifa nianze kuwaangalia marafiki zangu kwamba siku nikifa wanaweza kufanya hayo niliyoyaona.ma selfie kibao mara sijui subscribe uone dah kosa vyote ila BUSARA ikipungua ni MZIGO.
Sent from my HTCD200LVWPP using JamiiForums mobile app
wa kibiti..........MC Pilipili ni mhenga wa wapi?