Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ana mtoto sijui alizaa mwenyewe[emoji1]
Ya ni kweli hakuwahi kuwa na mke ila ana mzazi mwenzie ambae alizaa nae hapo ndio unakuja umuhimu wa ndoa inakupa thamani japo sio sana.
Hapo sasa mc pilipili kamsahau shemeji yakeNamie najiuliza maana sijamuona kapostiwa kokote kupewa pole
Hapo sasa mc pilipili kamsahau shemeji yake
Labda[emoji28] maana si kwa uchungu ule alionaoAu ndio yeye maana alivyonauchungu!!
Mahojiano e fm mzazi mwenza alisema walikua hawakai woteYes nafahamu je mama wa huyo mtoto yuwapi? au walitenganj
Bikira ana mke?Msaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona
Nishakujua kumbe ndio weweMie kanikera pia nika mu unfollow tangu juzi.
Mrs Van
Rose NdaukaHata mimi nina ? aisee hivi girl friend wake ni nani?
Nzuguni nimeenda last year pameendelea kidogo tofauti na miaka ilopitaHa ha ha ha 84 club ya kina John Cheyo enzi akiwa mbunge,unamkuta chooni vijana wana....
Basi hata Nzuguni na Ihumwa itakuwa mjini kwa sasa,kina Aden Rage na Mzee Mavunde(baba wa mbunge) wakiwa CDA wamepiga sana deal za viwanja
Ndio mimi niniNishakujua kumbe ndio wewe
alikua anacheza ndondo cups tuMsaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona
utaona wap xx wakat ww mwenyew ubongo funza km pilipiliSijaona tatizo lolote la Mc Pili pili kupost picha walizokuwa na marehemu Seth kama rafiki yake wa karibu.Otherwise kama una tatizo na Mc Pili pili.
Sent from my TECNO-J8 using JamiiForums mobile app
Umeanza! 52 wewe.Msaada jamani! Marehemu hakuwahi kuwana mke? maana sijamuona