MC Pilipili acha kutafuta kiki kupitia Marehemu Seth(Bikira wa kisukuma)

MC Pilipili acha kutafuta kiki kupitia Marehemu Seth(Bikira wa kisukuma)

Nimeshuka kwenye page yake,mpaka mwisho nimekuta tena picha ya katoto keupe akisema ka kwake,ndo maana hata huyu nimeweka ?Halafu marafiki zake walikuwa kina Twisa,Juma Pinto,dah nikajiuliza maswali zaidi ukizingatia na alivyokuwa anajiita.
Hao twisa na pinto wana nini funguka basi.
Uyo twisa ni yule kevini twisa wa tigo sijui voda?
 
Tangu juzi kulipotokea msiba wa marehemu seth pilipili amekuwa akipost qoutes mbalimbali kuhusu marehemu, si kitu kibaya ila baada ya hapo ameendelea kupost picha mbalimbali za matukio ya msiba huo zinaoonesha amepigwa kwa simu huku akijinasibu kuwa amehuzunishwa,ameumia na kusikitishwa sana na kifo cha Seth.

Jamani kweli kabisa mtu una huzuni unaweza kupose na kupigwa picha kiasi kile!? Kulikuwa na bunches of media photographers kwanini asingetulia kama wengine akapigwa picha kulingana na matukio!?

**Nilimshangaa zaidi alipoandaa makala ya wasifu wa marehemu na kutaja mpaka ugonjwa uliomuua siku hiyo hiyo ambayo seth alifariki as if alikuwa msemaji wa familia**

Hata mwajiri wake (E-FM) hakudiriki kutoa hiyo taarifa japo kwa sehemu kubwa anahusika katika utoaji wa taarifa za mwajiriwa wake.

Pilipili humpendi Seth hata kidogo coz urafiki ni kustiriana na kujaliana why uanike ugonjwa wa Seth tena mapema kabisa wakati watu bado wapo kwenye taharuki kubwa baada kupokea taarifa ya kifo tena bila haya wala aibu ukaiwahisha hiyo makala you tube ili Seth aadhirike vizuri

Rafiki wa hivi simuhitaji katika maisha yangu.

Pilipili sina chuki binafsi na wewe ila unabore kiki za kijinga kwenye mambo ya msingi hazitakusaidia na zitakupoteza.
R. I. P SETH

Mdau JF

Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Ushaambiwa mtu MC.

Labda hiyo ndiyobnamna yake ya kuomboleza ki MC.

Kuna mtu alifiwa na mama yake, kesho yake nikamkuta Bar.

Akaniambia ndiyo namna yake ya kuomboleza.

Kuna mwingine mara baadavya mama yake kufariki alipewa likizo kazini aomboleze. Akakataa. Akasema kwenda kazini ndio kutamsaidia ku cope.

As long as mtu hajamvunjia heshima marehemu tatizo liko wapi?

Unajuaje huyo MC na Seth walivyoelewana?

Seth alikuwa mtu wa media, unashangaa nini msiba wake watu wakiuweka kwenye media?

Sent from my Kimulimuli
 
Pilipili hajatangaza ugonjwa wa seth ,naona umechanganya habari

Au you are just hating with no reason
Uko dunia gani wewe aliweka makala you tube nenda kachek pilipili tv
 
Siku ya birthday ya miaka 30 ya Mc Pilipili, Seth alimuandikia series ya jumbe Pilipili ,and that was just birthday.

Leo hii yeye anaandika ,some of the words ni zile ambazo pengine alitaman amwambie jamaa wakati akiwa hai bt alishindwa lakini raia mnaponda, taking into consideration kuwa jamaa hatakuja kumuona tena na ni mpendwa wake

Nyakat zinakuja ambazo watu watakuwa wanashindwa kuwa real, kwa kuhofia kusemwa mitandaoni

Nadhan what Pilipili is doing is just being real,
Being real au n kiki tuu, unaanzaje kupost kila lisaa while kila mtu anajua kilichotokea, yy ndo anahuzun sana au ndo alikua the closest friend wa seth.ukipost mara mbil tatu watu hawataona kama umehuzunishwa ad upost mara 20., jamaa anazingua tuu ,unatafuta kiki ad kwny misiba.

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Imebidi niingie kwenye page ya mcpilipili ili nami nihakikishe. Nadhani mwandishi umechukulia tofauti au umetafsiri vibaya. Nilichokiona kwa mcpilipili ni maumivu makali aliyonayo kuondokewa na rafiki yake kipenzi ambae ni kama ndugu. amepost pia comments nyingi za marehemu alizokua anamsifia huyu mc na kuelezea ukaribu. imenionyesha jinsi ambavyo marehemu na mc walikua marafiki. hakuna picha ameweka ya maiti zaidi ya matukio ya msiba, kitu ambacho si kibaya. kumbuka marehemu hakua na ndugu wa kiume, pamoja na urafiki wake na marehemu naona walikua kama ndugu. haya ni mawazo yangu na si lazima uone yako sawa. sioni kosa hapo kwenye page ya mc
Tatizo hujamfollow umeingia tuu na kutoka, so huwez ona tunachozungumzia, bt kiukwel anazingua yaan kila ukiingia insta n post yake tena anaweka pic ya seth na maneno kibao.watu wamepata taarfa, watu wameona watu wamehuzunishwa, kwan post mbil tat hazitosh ad apost kila mda alaf siyo taarfa muhim ni kuelezea tuu jins walivokua na close na seth. Was he the only friend kwa seth.Heb mfollow leo tuu the whole day af utajionea.

Sent from my TECNO W4 using JamiiForums mobile app
 
Nadhani ugonjwa wake ni sawa na wa yule Ibra wa JF. Nimonia ni hatari sana.
 
Kabisa ni wapuuzi hawa. Wanadiriki mpaka kupost sms walizokuwa wakichat na marehemu.
UTU UKO WAPI
 
Back
Top Bottom