Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,070
Hao twisa na pinto wana nini funguka basi.Nimeshuka kwenye page yake,mpaka mwisho nimekuta tena picha ya katoto keupe akisema ka kwake,ndo maana hata huyu nimeweka ?Halafu marafiki zake walikuwa kina Twisa,Juma Pinto,dah nikajiuliza maswali zaidi ukizingatia na alivyokuwa anajiita.
Uyo twisa ni yule kevini twisa wa tigo sijui voda?