MC Pilipili acha kutafuta kiki kupitia Marehemu Seth(Bikira wa kisukuma)

MC Pilipili acha kutafuta kiki kupitia Marehemu Seth(Bikira wa kisukuma)

Hili la huyu jamaa kiukweli sijamwelewa mpka kanifa nianze kuwaangalia marafiki zangu kwamba siku nikifa wanaweza kufanya hayo niliyoyaona.ma selfie kibao mara sijui subscribe uone dah kosa vyote ila BUSARA ikipungua ni MZIGO.

Sent from my HTCD200LVWPP using JamiiForums mobile app
 
Leo waliambiwa wasipige picha mwili wa marehemu,la sivyo tungeona hata picha ya mwili wa marehemu ukiwa ndani ya jeneza,pongezi sana kwa kamati ya mazishi kusimamia hili watu wasipige picha mwili wa marehemu.
 
Swaswa,kijiji kimoja Dodoma majirani zao na kile kijiji cha Zuzu
Wanakula sana viwavi jeshi kama mboga sbb ya ukame,na hutegemea mahikwii na mamung'unya kama mbadala wa maboga...Ni walaji wazuri sana wa sesetya na udawi pori
Swaswa kumeshakuwa mjini sio ile ya zamani wagogo wanajua hata kwenda club sahivi wanatembea kwa mguu mpaka 84
 
Swaswa,kijiji kimoja Dodoma majirani zao na kile kijiji cha Zuzu
Wanakula sana viwavi jeshi kama mboga sbb ya ukame,na hutegemea mahikwii na mamung'unya kama mbadala wa maboga...Ni walaji wazuri sana wa sesetya na udawi pori
Duh! Dodoma pana majina lipo pori moja linaitwa swagaswaga.
 
Swaswa kumeshakuwa mjini sio ile ya zamani wagogo wanajua hata kwenda club sahivi wanatembea kwa mguu mpaka 84
Ha ha ha ha 84 club ya kina John Cheyo enzi akiwa mbunge,unamkuta chooni vijana wana....
Basi hata Nzuguni na Ihumwa itakuwa mjini kwa sasa,kina Aden Rage na Mzee Mavunde(baba wa mbunge) wakiwa CDA wamepiga sana deal za viwanja
 
Nilidhani Nimeliona peke yangu

Sent from my GT-N7100 using JamiiForums mobile app
 
Tangu juzi kulipotokea msiba wa marehemu seth pilipili amekuwa akipost qoutes mbalimbali kuhusu marehemu, si kitu kibaya ila baada ya hapo ameendelea kupost picha mbalimbali za matukio ya msiba huo zinaoonesha amepigwa kwa simu huku akijinasibu kuwa amehuzunishwa,ameumia na kusikitishwa sana na kifo cha Seth.

Jamani kweli kabisa mtu una huzuni unaweza kupose na kupigwa picha kiasi kile!? Kulikuwa na bunches of media photographers kwanini asingetulia kama wengine akapigwa picha kulingana na matukio!?

**Nilimshangaa zaidi alipoandaa makala ya wasifu wa marehemu na kutaja mpaka ugonjwa uliomuua siku hiyo hiyo ambayo seth alifariki as if alikuwa msemaji wa familia**

Rafiki wa hivi simuhitaji katika maisha yangu.

Pilipili sina chuki binafsi na wewe ila unabore kiki za kijinga kwenye mambo ya msingi hazitakusaidia na zitakupoteza.
R. I. P SETH

Mdau JF

Sent from my Phantom6 using JamiiForums mobile app
Ingawa mimi mwenyewe sina elimu lakini najiuliza sijui ni elimu au ni ulimbukeni? Nimejiuliza kuhusu elimu kwa kuwa jambo hili liko wazi kwamba hakuna mtu anayeruhusiwa kutoa taarifa za mgonjwa (hata daktari anayemtibu) bila ridhaa ya mgonjwa au kama mgonjwa amefariki basi ridhaa ya familia, mtu kama huyu familia ikijipanga vizuri anaweza kushtakiwa na kutiwa hatiani kiulaini.
 
Ha ha ha ha 84 club ya kina John Cheyo enzi akiwa mbunge,unamkuta chooni vijana wana....
Basi hata Nzuguni na Ihumwa itakuwa mjini kwa sasa,kina Aden Rage na Mzee Mavunde(baba wa mbunge) wakiwa CDA wamepiga sana deal za viwanja
[emoji15] [emoji15] [emoji15] [emoji15] joni?
 
Back
Top Bottom