Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwao Dodoma huyoMC Pilipili ni mhenga wa wapi?
Mbona kama nyuma anamzidi wema sepetu au macho yangu
Umeongea vzr mkuu kama humu hazimo kwann wanataka tujadili huku kwa mfano tusema mitandao ya kijamii ni nchiIzo pic wanapost wapi? Maana sie wengine sio wadau wa fb au insta
Hivi binti na mwana ni maneno mawili tofauti?Ni binti yake
Hivi binti na mwana ni maneno mawili tofauti?
sent from my Makinikia 7 using jamiiForums mobile app
Being real kwa kutangaza mpaka ugonjwa!?Siku ya birthday ya miaka 30 ya Mc Pilipili, Seth alimuandikia series ya jumbe Pilipili ,and that was just birthday.
Leo hii yeye anaandika ,some of the words ni zile ambazo pengine alitaman amwambie jamaa wakati akiwa hai bt alishindwa lakini raia mnaponda, taking into consideration kuwa jamaa hatakuja kumuona tena na ni mpendwa wake
Nyakat zinakuja ambazo watu watakuwa wanashindwa kuwa real, kwa kuhofia kusemwa mitandaoni
Nadhan what Pilipili is doing is just being real,
Pilipili hajatangaza ugonjwa wa seth ,naona umechanganya habariBeing real kwa kutangaza mpaka ugonjwa!?
Hebu weka ushahidi kama katangazaBeing real kwa kutangaza mpaka ugonjwa!?
Ni mbunge hadi leo hiiHa ha ha ha 84 club ya kina John Cheyo enzi akiwa mbunge,unamkuta chooni vijana wana....
Kama ni huzuni basi mwenzetu huyu zilipitiliza. Kuna picha ali post kapiga yeye na mtoto wa marehemu Seth. I think that was simply inappropriate and unnecessary!!Anakera kweli, kila sekunde ana post utadhan alizaa nae..seenzi