MC Pilipili afungua Kanisa

MC Pilipili afungua Kanisa

Mshereheshaji wa Harusi na mtia nia ya ubunge kwenye uchaguzi wa 2020 kupitia CCM, MC Pilipili amezindua kanisa linaloitwa LOVE CHURCH.

Uzinduzi huo Kabambe umefanyika kwenye hotel ya Kebby's Iliyoko Sinza, DSM, na kuhudhuriwa na waimbaji kadhaa wa nyimbo za injili, huku watu wakiombewa na kufunguliwa.

Chanzo: Global Publishers

Hii yote kumwiga masanja
Bado kidogo joti nae atafungua
 
Hao uliowataja wapo vizuri sana kuliko hata huo uislam wako tatizo unakremisha tuu🙄🙄🙄
Usipanic tunajadiliana kwa amani tu na kwa si kwa nia ya kubomoa.


Wapo vizuri kwenye nini sasa mkuu Kihela au kiufahamu?

Mkuu waislamu wanasoma dini yao ukizingatia dini yao imegusa karibu kwenye kila sehemu kwenye maisha yao.
 
Rubish takataka kabisa ,hivi unajuwa hakuna watu wenye kuhoj ktk din km waislamu ,infact Allah almight alishatoa challenge kweny Qur'an kwa majin na wanadamu walete kasoro Kama wakiweza so hata wewe kama unaweza kuchallenge karibu ,ila waliojaribu wote waliishia kusilimu
Bora nirudi kuabudu mibuyu na kulala makaburini kuliko kusilimu..

#MaendeleoHayanaChama
 
Isije ikawa alimtoa mama yake kafara ili atimize lengo lake
Mbona unaenda mbali sana, hayo anayajua yeye na aliyemuita amtumikie, mke wa mfalme Daudi alimdhihaki Daudi alipata laana, pia dada yake Moses alimsema kaka yake Mungu akampa adhabu ya maisha
 
binafsi nikianza kuifikiria Roma empire na pale Vatican namna ukristo ulivyotoka mashariki ya kati na kufika Ulaya... Uhusiano wa Vatican miaka hiyo na wahuni wa Sicily aka Mafia mob.

Nikifikiria tena namna ukristo ulivyotumika kuwatawala waAfrica enzi za ukoloni, maana tulifundishwa moja ya tool iliyotumika kutuwala ilikuwa ni dini na wamisionary walikuwa agent wa wakoloni..

Amri za Kanisa hasa ile inayowataka watumishi wasioe wala kuolewa...

kingine ni mkanganyiko kwenye bible na ukihoji sana unaambiwa kuyaelewa hayo maandiko lazima uwe genius.. kwanini yaandikwe mafumbo au kufichwafichwa wakati ni dini na kila mtu anapaswa kuielewa clearly ili aifuate na kuabudu..?

Israel kujiita Taifa teule kwa kisingizio cha kuandikwa kwenye bible wakati bible yenyewe chimbuko lake ni hapo Israel, Kudhulumu ardhi ya watu kwa kisingizio ni nchi yao ya ahadi reference ni bible...ina maana hata wale Waaustralia kule waseme lile bara ni nchi yao ya ahadi wakati ilikuwa jela ya waingereza ndio vile tu ile ardhi ilikuwa haina mwenyewe...

Wenyeji wayahudi wengi wao sio christian na christian pale ni wachache sana, yaani hata ni muslim ni wengi pale kuliko Christians, inawezekanaje sasa, penye chimbuko la dini wenye dini ni wachache?
Nadhani tusikuhukumu Sana hizi dini sisi Kama waafrika maana hata uislamu Africa umeletwa na waarabu enzi za utumwa! Kwaio cha msingi tuheshimiane kila mtu na alichobahatika kurithi toka kwa wajaji (waarabu na wazungu).

Angalizo: tusiache kusali na kuswali kwani Mungu yupo jamani Ila tusidharauliane sisi kwa sisi waafrika kwa sababu ya tofauti ya dini zetu tulizoletewa!

Naomba kuwasilisha!
 
Wajinga huamini katika DINI au USHIRIKINA baaasiiii, vitu viwili tu.
 
Dunia ina watu bil 7, na toka binadamu wa kwanza wamekufa mabilion ya watu, kwahiyo Mungu hawezi kuhangaika na wewe ambaye huna umaarufu Wala madhara yoyote kwenye huu ulimwemgu eti aje yeye mwenyewe kukwambia kuwa yupo ndo utaamini. Hata Hitler pamoja na kutikisa dunia hii Mungu hakuja kumwambia acha kwa sababu Mungu ameshaweka limit hakuna wa kumshinda utaishia kuoza tuu.
Watu wa Dini hua hamueleweki mnasimamia Nini,hapo hapo utakuja nipa hekaya za Yesu alikuja kukomboa kondoo waliopotea Tena ukibwagiza Mungu hua anaokoa mmoja aliyepotea na kumfanya alejee kwake hapo hapo Tena unanambia Mungu hajiahangaishi na mtu mmoja kama Mimi ambaye simuamini,
Hivi Kwa huo uweza wake mnaomnasibisha nyie CHAWA wake si anauwezo wa kufanya kitu nikaamini yupo kinashindikana Nini?

Ni SAWA na jamaa wawe kwenye kijiwe Cha kahawa mmoja ajitape ana fedha kiasi Cha 1 million dollars halafu Mwingine awe anampinga,yule mwenye Hela aendelee kuvumba na kufura kisa kaambiwa Hana Hela wakati ni kitendo Cha kutoa bank statement Ili Kila Mmoja approve wrong pale!

Maneno bila vitendo yafaa Nini ewe mgalatia na mquraish mweusi?
😁😁😁🔥🔥
 
Dunia ina watu bil 7, na toka binadamu wa kwanza wamekufa mabilion ya watu, kwahiyo Mungu hawezi kuhangaika na wewe ambaye huna umaarufu Wala madhara yoyote kwenye huu ulimwemgu eti aje yeye mwenyewe kukwambia kuwa yupo ndo utaamini. Hata Hitler pamoja na kutikisa dunia hii Mungu hakuja kumwambia acha kwa sababu Mungu ameshaweka limit hakuna wa kumshinda utaishia kuoza tuu.
Watu wa Dini hua hamueleweki mnasimamia Nini,hapo hapo utakuja nipa hekaya za Yesu alikuja kukomboa kondoo waliopotea Tena ukibwagiza Mungu hua anaokoa mmoja aliyepotea na kumfanya alejee kwake hapo hapo Tena unanambia Mungu hajiahangaishi na mtu mmoja kama Mimi ambaye simuamini,
Hivi Kwa huo uweza wake mnaomnasibisha nyie CHAWA wake si anauwezo wa kufanya kitu nikaamini yupo kinashindikana Nini?

Ni SAWA na jamaa wawe kwenye kijiwe Cha kahawa mmoja ajitape ana fedha kiasi Cha 1 million dollars halafu Mwingine awe anampinga,yule mwenye Hela aendelee kuvumba na kufura kisa kaambiwa Hana Hela wakati ni kitendo Cha kutoa bank statement Ili Kila Mmoja approve wrong pale!

Maneno bila vitendo yafaa Nini ewe mgalatia na mquraish mweusi?
😁😁😁🔥🔥
 
Back
Top Bottom