MC Pilipili afungua Kanisa

Hii yote kumwiga masanja
Bado kidogo joti nae atafungua
 
Hao uliowataja wapo vizuri sana kuliko hata huo uislam wako tatizo unakremisha tuuπŸ™„πŸ™„πŸ™„
Usipanic tunajadiliana kwa amani tu na kwa si kwa nia ya kubomoa.


Wapo vizuri kwenye nini sasa mkuu Kihela au kiufahamu?

Mkuu waislamu wanasoma dini yao ukizingatia dini yao imegusa karibu kwenye kila sehemu kwenye maisha yao.
 
Bora nirudi kuabudu mibuyu na kulala makaburini kuliko kusilimu..

#MaendeleoHayanaChama
 
Isije ikawa alimtoa mama yake kafara ili atimize lengo lake
Mbona unaenda mbali sana, hayo anayajua yeye na aliyemuita amtumikie, mke wa mfalme Daudi alimdhihaki Daudi alipata laana, pia dada yake Moses alimsema kaka yake Mungu akampa adhabu ya maisha
 
Nadhani tusikuhukumu Sana hizi dini sisi Kama waafrika maana hata uislamu Africa umeletwa na waarabu enzi za utumwa! Kwaio cha msingi tuheshimiane kila mtu na alichobahatika kurithi toka kwa wajaji (waarabu na wazungu).

Angalizo: tusiache kusali na kuswali kwani Mungu yupo jamani Ila tusidharauliane sisi kwa sisi waafrika kwa sababu ya tofauti ya dini zetu tulizoletewa!

Naomba kuwasilisha!
 
Wajinga huamini katika DINI au USHIRIKINA baaasiiii, vitu viwili tu.
 
Watu wa Dini hua hamueleweki mnasimamia Nini,hapo hapo utakuja nipa hekaya za Yesu alikuja kukomboa kondoo waliopotea Tena ukibwagiza Mungu hua anaokoa mmoja aliyepotea na kumfanya alejee kwake hapo hapo Tena unanambia Mungu hajiahangaishi na mtu mmoja kama Mimi ambaye simuamini,
Hivi Kwa huo uweza wake mnaomnasibisha nyie CHAWA wake si anauwezo wa kufanya kitu nikaamini yupo kinashindikana Nini?

Ni SAWA na jamaa wawe kwenye kijiwe Cha kahawa mmoja ajitape ana fedha kiasi Cha 1 million dollars halafu Mwingine awe anampinga,yule mwenye Hela aendelee kuvumba na kufura kisa kaambiwa Hana Hela wakati ni kitendo Cha kutoa bank statement Ili Kila Mmoja approve wrong pale!

Maneno bila vitendo yafaa Nini ewe mgalatia na mquraish mweusi?
😁😁😁πŸ”₯πŸ”₯
 
Watu wa Dini hua hamueleweki mnasimamia Nini,hapo hapo utakuja nipa hekaya za Yesu alikuja kukomboa kondoo waliopotea Tena ukibwagiza Mungu hua anaokoa mmoja aliyepotea na kumfanya alejee kwake hapo hapo Tena unanambia Mungu hajiahangaishi na mtu mmoja kama Mimi ambaye simuamini,
Hivi Kwa huo uweza wake mnaomnasibisha nyie CHAWA wake si anauwezo wa kufanya kitu nikaamini yupo kinashindikana Nini?

Ni SAWA na jamaa wawe kwenye kijiwe Cha kahawa mmoja ajitape ana fedha kiasi Cha 1 million dollars halafu Mwingine awe anampinga,yule mwenye Hela aendelee kuvumba na kufura kisa kaambiwa Hana Hela wakati ni kitendo Cha kutoa bank statement Ili Kila Mmoja approve wrong pale!

Maneno bila vitendo yafaa Nini ewe mgalatia na mquraish mweusi?
😁😁😁πŸ”₯πŸ”₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…