kikiboxer
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 3,668
- 9,809
Sijaelewa kabisa mkuu.Atazuga kulima mchele kwanza
Nada unalipa..
Tena jembe Lao lipo ardhi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sijaelewa kabisa mkuu.Atazuga kulima mchele kwanza
Nada unalipa..
Tena jembe Lao lipo ardhi
Hahah anayesali kwa huyu shila inabidi akapimwe akili yake.Na bado wapo wanaoenda kwa shillah..
Nina kaofisi hapa jirani na kanisa lake yani vituko sana. Vijana wamenyoa viduku na masista wanaambiwa na wao watakuwa matajiri kama yeye.Hahah nayesali kwa huyu shila inabidi akapimwe akili yake.
Tatizo likifanyika hapa, kejeli na lugha chafu zitatumwa kwa atakayetekeleza hili
Vijana tujiajiri ujasiriamali wa sadaka unalipa sana.Mshereheshaji wa Harusi na mtia nia ya ubunge kwenye uchaguzi wa 2020 kupitia ccm , MC Pilipili amezindua kanisa linaloitwa LOVE CHURCH.
Uzinduzi huo Kabambe umefanyika kwenye hotel ya Kebby's Iliyoko Sinza , DSM , na kuhudhuriwa na waimbaji kadhaa wa nyimbo za injili , huku watu wakiombewa na kufunguliwa.
Chanzo : Global Publishers
Watu wakiombewa na kufunguliwa nini?Mshereheshaji wa Harusi na mtia nia ya ubunge kwenye uchaguzi wa 2020 kupitia ccm , MC Pilipili amezindua kanisa linaloitwa LOVE CHURCH.
Uzinduzi huo Kabambe umefanyika kwenye hotel ya Kebby's Iliyoko Sinza , DSM , na kuhudhuriwa na waimbaji kadhaa wa nyimbo za injili , huku watu wakiombewa na kufunguliwa.
Chanzo : Global Publishers
Mapepo na shida zaoWatu wakiombewa na kufunguliwa nini?
[emoji38][emoji38][emoji38]Hivi Hawa wafuasi wa watu Kama hawa huwa Wana akili kweli?!!! Bado kizazi cha kipumbavu kipo sana kwenye jamii zetu.
Vilevile naona kuna haja ya utaratibu wa kuanzishwa makanisa kuwekwa vizuri sio Kama ulivyosasa, yaani ovyoovyo tu.
Ana ka X3 ka 2008 kamechoka.Soon ataanza push X6
Habari ndo hiyoNgoja tuone...before and after