MC Pilipili afungua Kanisa

Nilishangaa sana
Nikahitimisha pengine ndio sababu

Hivi kweli yule MC maarufu na yeye ana miliki kondoo sasa hivi?

Na yeye anaombea watu??

Ndio maana watu wana badili gia angani

[emoji848][emoji40][emoji1439][emoji1439]
Kwasababu ndio hawaruhusu kufuga majini
 
Kwasababu ya imani ya kikristo kuwaaminisha yesu ni mungu wakikaa vizuri akili ikitulia wakijiuliza je kabla ya kuzaliwa yesu dunia haikua na Mungu? Ndo hapo hapo wanaanza kuona wanatapeliwa wanasema Mungu hayupo
Dini ya kikristu huwa inampa mtu uhuru wa kufikiro na kufanya maamuzi. Siku upande wa pili wakipata uhuru wa kufikiri afu wajiulize, aliyesema kapewa Quran hakuwa anajua kusoma wala kuondika, alikuwa anakilala kitoto kidogo na baadhi ya maswahaba walikufa kwa ulevi, nyumba za ibada wangefugia mdudu.
 
Umekosa kuona connection kati ya Mungu na Ukristo/biblia na hapo ndio ukaona uwe na msimamo wa kuwa hakuna Mungu?
 
Huo ushahidi kwenye fake I'd au sio?
😁😁😁😁
Wangekuwa wanakurupuka tu kuanzisha nyuzi sawa ila kihistoria humu Jf zinaonyesha walikuwa upande huo muda mrefu na kuchambua vyema bible .Sawa ila kwa kuanzia siyo mbaya .Zimekidhiri nyuzi zao nyingi za malalamiko wengine wanataka na wao waoe wake wengi ,suala la kuachana kuwa gumu (mpk kuzikana) muda mrefu ibadani ,Sadaka nk

Hatimaye wanaamua waokoe muda waishi wanavyotaka .
 
Sasa mbona wenzako wanasema Qur'an imekopi vifungu na baadhi ya mambo katika bible wkt alikuwa hajui kusoma wala kuandika huoni kama mnajichanganya ? huo ndio muujiza wenyewe mtu asiye jua kusoma wala kuandika kuwa na elimu kubwa na mafundisho yake kutawala ulimwengu mzima

Madai yako yote una uthibitisho wowote uweke tuamini ?
 
Kwasababu ya imani ya kikristo kuwaaminisha yesu ni mungu wakikaa vizuri akili ikitulia wakijiuliza je kabla ya kuzaliwa yesu dunia haikua na Mungu? Ndo hapo hapo wanaanza kuona wanatapeliwa wanasema Mungu hayupo

Wazee wa bikira 72 mmeanza
 
Hata uislam nao ni uongo mtupu eti mungu anajua kiarabu tuu. Dini imekaa kiarabu kiarabu yaani tamaduni zote za kiarabu ndo uislamu. Sasa hapo kuna nini.
Yaani hapo ndio nachokaga kabisa aisee.

Hivi hii Quran ingeandikwa kwa Kiswahili, hivi hawa wavaa kobaz wa Mashariki ya kati wangeisoma kweli?
 
4. Mungu anajiomba[emoji16]
 
Kwahiyo wewe unaamini kabisa et Mohammed Abdulla alishushiwa Quran kimiujiza?
Aisee duuuu pole Sana,
Vatican Ndio waliutengeneza uislamu kule Arabuni wakimtumia huyo mnaedai ni mtume wenu akishirikiana na Padre Waraqa kwa kutumia mbinu za kijasusi Ili kuweza kuiunganisha jamii ya waquraish na iliyokua Ina watu wabishi Sana waliogoma kuufuata ukristo wakaona mbinu ni kumtumia mtu wao mwenye umaarufu,heshima na ushawishi mkubwa bwana
Mohammed Abdulla wakafake muujiza pangoni Mwisho Ngoma ikatiki Kwa propaganda Kali Sana
Waquraish wakaingia mkenge na Ndio maana hicho kitabu mnachodai ni muujiza kimejaa Morals and Dogma za kiyahudi na na kikristo wakiongezea na za pale Kaaba Mecca ikatokea Islam religion,
Hizo documents za kuonesha huo mchezo alizitwaa
Napoleon Bonaparte miaka Ile ya 1880's alipomteka pope na kumkata kichwa
akazibeba na kwenda nazo ufaransa,wajanja wanajua Lile Dili ambalo baadae likageuka dirisha baada ya kua verified!
Waquraish weusi watakuja nipiga Mawe ila habari Ndio hiyo

If you want to know Islamic religion secreto ask Pope!
😁😁😁😁
 
Hahaha!! madai hayo ya upuuzi yasiyo na ushahidi wala kueleweka nimeshawahi kuona hapa Jf kwenye nyuzi Moja na hoja zote zimejibiwa ipasavyo hivyo hamna jipya hapo .
 
Hahaha!! madai hayo ya upuuzi yasiyo na ushahidi wala kueleweka nimeshawahi kuona hapa Jf kwenye nyuzi Moja na hoja zote zimejibiwa ipasavyo hivyo hamna jipya hapo .
madai ya kipuuzi ee haya Sawa,basi wewe ni mwerevu Sana kuliko Vatican
Shukrani!
😁😁😁😁
 
Mbona unaandika pumba mkuu
 
Kwa sababu ukristo ni progressive while Islam ni conservative, yaan uislam hauruhusu kuhoji au kukosoa na ulifanya hivyo ni adhabu kali , Islam is more imposed than accepted
Ila uislamu unaimiza kila muislamu kusoma uislamu wake hivyo ingekuwa haitaki watu wahoji basi isingeimiza waumini kusoma sana dini yao na ndio dini ambayo inaonekana waumini wao wanapenda kusoma sana dini yao kuliko elimu ya dunia. Sasa huyo anayekataza kuhoji ni nani?
 
Mbona unaandika pumba mkuu
Hizi ni Pumba Kwa wenye akili ndogo ila wale wanaojua kuchekecha akili zao wanajua Siri za mchezo na game,
Kama nilioandika hapa ni utumbo naomba mtafute carnidary yeyote wa kanisa katoriki aliyesoma theology in deep huko Roma Vatican halafu akuambie hiyo Siri iliyofichwa muda mrefu kuhusu wao kutengeneza Islamic religion na kuwapelekea jamii za Waquraish wa pale Mecca kupitia Kwa ajent wao Mohammed Abdulla,
Naomba niishie hapa mkuu ila Kaa ukijua hili daima,
Kuna mambo yakiwa verified Kuna watu watapata wendawazimu katika jamii
Jiulize kwanini crusade war ilipiganwa Kwa muda mrefu?
Unajua Malengo ya Ile vita Kwa pande zote mbili?
Unajua makubaliano yaliyositisha Ile vita bandia iliyprogramiwa na viongozi wakubwa wa Dini zote mbili wao wakijua Nini wanafanya kwa ajenda zao binafsi huko wakitoa kafara maelfu ya raia Toka pande mbili vitani bila kujua wanatumika Kwa uhasama bandia huko viongozi wao wakigonga grass za mvinyo kwa Pamoja na kutumiana barua za Siri wakipongezana Kwa game lao kwenda sawia Kwa Karne tatu?
😁😁😁
My Broo hii Dunia Ina watu Wana ajenda mbaya Sana ila wachache vipofu Hata hawaoni kamwe na ukiwaambia wanakuona mwehu anyway.........!
 
Kusudio la kufanya hivyo ilikuwa ni nini na wamefanikiwa kiasi gani katika hilo kusudio lao?
 
Hivi kwa lile tukio la Gwajima kama ndio angekuwa sheikh imamu wa msikiti unadhani bado angeendelea kuwa imamu wa msikiti? Ila ajabu hadi leo bado Gwajima anaendelea na waumini wake, ndio watu hao unawasifu wana uwezo wa kuhoji sio mazuzu?
 
unajua ukristo hamuandai mtoto kuabudu dini na mafundisho ya ukristo ni mara 2 kwa juma hiyo ni kwa watoto mpaka kukua mtoto anakua kaielewa elimu ya kidunia kuliko ya kidini so inakua ni rahisi kuichmbua dini tofauti na uislamu mtoto anakaririshwa dini na kuiabudu sana kuliko elimu ya duniani so inakua ngumu kujaji kitu ulichokaririshwa kukithamini
 
Yani mkuu hao watu hata humu JF bado tu wanaogopa kutengwa na kuuwawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…