Kwasababu ndio hawaruhusu kufuga majiniNilishangaa sana
Nikahitimisha pengine ndio sababu
Hivi kweli yule MC maarufu na yeye ana miliki kondoo sasa hivi?
Na yeye anaombea watu??
Ndio maana watu wana badili gia angani
[emoji848][emoji40][emoji1439][emoji1439]
Dini ya kikristu huwa inampa mtu uhuru wa kufikiro na kufanya maamuzi. Siku upande wa pili wakipata uhuru wa kufikiri afu wajiulize, aliyesema kapewa Quran hakuwa anajua kusoma wala kuondika, alikuwa anakilala kitoto kidogo na baadhi ya maswahaba walikufa kwa ulevi, nyumba za ibada wangefugia mdudu.Kwasababu ya imani ya kikristo kuwaaminisha yesu ni mungu wakikaa vizuri akili ikitulia wakijiuliza je kabla ya kuzaliwa yesu dunia haikua na Mungu? Ndo hapo hapo wanaanza kuona wanatapeliwa wanasema Mungu hayupo
So?Kwasababu ndio hawaruhusu kufuga majini
Umekosa kuona connection kati ya Mungu na Ukristo/biblia na hapo ndio ukaona uwe na msimamo wa kuwa hakuna Mungu?Nilijikuta nikiwa Atheist nikiwa kidato Cha pili tu,hiyo ni baada ya kua deep Sana Kwenye kusoma Bible,
Still bible ni kitabu nachokipenda kina rejea nyingi za kihistoria,
morals and dogma na hua napenda kukisoma tu hasa agano la kale ila tangu nianze kusoma sijaona Muunganiko na huyo Mungu mule zaidi tu ya contradiction, sometimes hekaya ya kufurahisha genge
Za Waisrael,
Nje ya hapo nisiwe mwongo Mimi ni pure Atheist na hakuna mfia Dini atanibadilisha Wala kuniaminisha kitu nikamwelewa Labda huyo Mungu mnaedai yupo aje mwenyewe au atume mjumbe wa maana Sana Ndio nitamuelewa bila Hivyo atakua ni hekaya kama kama hekaya nyingine na hajawahi exist popote!
Wangekuwa wanakurupuka tu kuanzisha nyuzi sawa ila kihistoria humu Jf zinaonyesha walikuwa upande huo muda mrefu na kuchambua vyema bible .Sawa ila kwa kuanzia siyo mbaya .Zimekidhiri nyuzi zao nyingi za malalamiko wengine wanataka na wao waoe wake wengi ,suala la kuachana kuwa gumu (mpk kuzikana) muda mrefu ibadani ,Sadaka nkHuo ushahidi kwenye fake I'd au sio?
ππππ
AiseeHata uislam nao ni uongo mtupu eti mungu anajua kiarabu tuu. Dini imekaa kiarabu kiarabu yaani tamaduni zote za kiarabu ndo uislamu. Sasa hapo kuna nini.
Sasa mbona wenzako wanasema Qur'an imekopi vifungu na baadhi ya mambo katika bible wkt alikuwa hajui kusoma wala kuandika huoni kama mnajichanganya ? huo ndio muujiza wenyewe mtu asiye jua kusoma wala kuandika kuwa na elimu kubwa na mafundisho yake kutawala ulimwengu mzimaDini ya kikristu huwa inampa mtu uhuru wa kufikiro na kufanya maamuzi. Siku upande wa pili wakipata uhuru wa kufikiri afu wajiulize, aliyesema kapewa Quran hakuwa anajua kusoma wala kuondika, alikuwa anakilala kitoto kidogo na baadhi ya maswahaba walikufa kwa ulevi, nyumba za ibada wangefugia mdudu.
Kwasababu ya imani ya kikristo kuwaaminisha yesu ni mungu wakikaa vizuri akili ikitulia wakijiuliza je kabla ya kuzaliwa yesu dunia haikua na Mungu? Ndo hapo hapo wanaanza kuona wanatapeliwa wanasema Mungu hayupo
Yaani hapo ndio nachokaga kabisa aisee.Hata uislam nao ni uongo mtupu eti mungu anajua kiarabu tuu. Dini imekaa kiarabu kiarabu yaani tamaduni zote za kiarabu ndo uislamu. Sasa hapo kuna nini.
4. Mungu anajiomba[emoji16]Utatu MtakatifuβHuwachanganya na kuwafanya watu wapoteze imani
1. Imagine wanasema Yesu ni Mungu halafu wakati huohuo eti ni mwana wa Mungu,
2. Yesu alimuumba Maria halafu wakati huohuo Maria alimzaa huyohuyo Yesu
3. Yesu ni mtu halafu wakati huohuo ni Mungu, na wakati huohuo Yesu mtu ambaye ni Mungu bado anapiga magoti kumuomba Mungu wakati Mungu ni yeye mwenyewe.
Haya mambo huwachanganya watu, na mwishowe huona watoke ktk Ukiristo
Kwahiyo wewe unaamini kabisa et Mohammed Abdulla alishushiwa Quran kimiujiza?Sasa mbona wenzako wanasema Qur'an imekopi vifungu na baadhi ya mambo katika bible wkt alikuwa hajui kusoma wala kuandika huoni kama mnajichanganya ? huo ndio muujiza wenyewe mtu asiye jua kusoma wala kuandika kuwa na elimu kubwa na mafundisho yake kutawala ulimwengu mzima
Madai yako yote una uthibitisho wowote uweke tuamini ?
Hahaha!! madai hayo ya upuuzi yasiyo na ushahidi wala kueleweka nimeshawahi kuona hapa Jf kwenye nyuzi Moja na hoja zote zimejibiwa ipasavyo hivyo hamna jipya hapo .Kwahiyo wewe unaamini kabisa et Mohammed Abdulla alishushiwa Quran kimiujiza?
Aisee duuuu pole Sana,
Vatican Ndio waliutengeneza uislamu kule Arabuni wakimtumia huyo mnaedai ni mtume wenu akishirikiana na Padre Waraqa kwa kutumia mbinu za kijasusi Ili kuweza kuiunganisha jamii ya waquraish na iliyokua Ina watu wabishi Sana waliogoma kuufuata ukristo wakaona mbinu ni kumtumia mtu wao mwenye umaarufu,heshima na ushawishi mkubwa bwana
Mohammed Abdulla wakafake muujiza pangoni Mwisho Ngoma ikatiki Kwa propaganda Kali Sana
Waquraish wakaingia mkenge na Ndio maana hicho kitabu mnachodai ni muujiza kimejaa Morals and Dogma za kiyahudi na na kikristo wakiongezea na za pale Kaaba Mecca ikatokea Islam religion,
Hizo documents za kuonesha huo mchezo alizitwaa
Napoleon Bonaparte miaka Ile ya 1880's alipomteka pope na kumkata kichwa
akazibeba na kwenda nazo ufaransa,wajanja wanajua Lile Dili ambalo baadae likageuka dirisha baada ya kua verified!
Waquraish weusi watakuja nipiga Mawe ila habari Ndio hiyo
If you want to know Islamic religion secreto ask Pope!
πππ
madai ya kipuuzi ee haya Sawa,basi wewe ni mwerevu Sana kuliko VaticanHahaha!! madai hayo ya upuuzi yasiyo na ushahidi wala kueleweka nimeshawahi kuona hapa Jf kwenye nyuzi Moja na hoja zote zimejibiwa ipasavyo hivyo hamna jipya hapo .
Mbona unaandika pumba mkuuKwahiyo wewe unaamini kabisa et Mohammed Abdulla alishushiwa Quran kimiujiza?
Aisee duuuu pole Sana,
Vatican Ndio waliutengeneza uislamu kule Arabuni wakimtumia huyo mnaedai ni mtume wenu akishirikiana na Padre Waraqa kwa kutumia mbinu za kijasusi Ili kuweza kuiunganisha jamii ya waquraish na iliyokua Ina watu wabishi Sana waliogoma kuufuata ukristo wakaona mbinu ni kumtumia mtu wao mwenye umaarufu,heshima na ushawishi mkubwa bwana
Mohammed Abdulla wakafake muujiza pangoni Mwisho Ngoma ikatiki Kwa propaganda Kali Sana
Waquraish wakaingia mkenge na Ndio maana hicho kitabu mnachodai ni muujiza kimejaa Morals and Dogma za kiyahudi na na kikristo wakiongezea na za pale Kaaba Mecca ikatokea Islam religion,
Hizo documents za kuonesha huo mchezo alizitwaa
Napoleon Bonaparte miaka Ile ya 1880's alipomteka pope na kumkata kichwa
akazibeba na kwenda nazo ufaransa,wajanja wanajua Lile Dili ambalo baadae likageuka dirisha baada ya kua verified!
Waquraish weusi watakuja nipiga Mawe ila habari Ndio hiyo
If you want to know Islamic religion secreto ask Pope!
ππππ
Ila uislamu unaimiza kila muislamu kusoma uislamu wake hivyo ingekuwa haitaki watu wahoji basi isingeimiza waumini kusoma sana dini yao na ndio dini ambayo inaonekana waumini wao wanapenda kusoma sana dini yao kuliko elimu ya dunia. Sasa huyo anayekataza kuhoji ni nani?Kwa sababu ukristo ni progressive while Islam ni conservative, yaan uislam hauruhusu kuhoji au kukosoa na ulifanya hivyo ni adhabu kali , Islam is more imposed than accepted
Hizi ni Pumba Kwa wenye akili ndogo ila wale wanaojua kuchekecha akili zao wanajua Siri za mchezo na game,Mbona unaandika pumba mkuu
Kusudio la kufanya hivyo ilikuwa ni nini na wamefanikiwa kiasi gani katika hilo kusudio lao?Kwahiyo wewe unaamini kabisa et Mohammed Abdulla alishushiwa Quran kimiujiza?
Aisee duuuu pole Sana,
Vatican Ndio waliutengeneza uislamu kule Arabuni wakimtumia huyo mnaedai ni mtume wenu akishirikiana na Padre Waraqa kwa kutumia mbinu za kijasusi Ili kuweza kuiunganisha jamii ya waquraish na iliyokua Ina watu wabishi Sana waliogoma kuufuata ukristo wakaona mbinu ni kumtumia mtu wao mwenye umaarufu,heshima na ushawishi mkubwa bwana
Mohammed Abdulla wakafake muujiza pangoni Mwisho Ngoma ikatiki Kwa propaganda Kali Sana
Waquraish wakaingia mkenge na Ndio maana hicho kitabu mnachodai ni muujiza kimejaa Morals and Dogma za kiyahudi na na kikristo wakiongezea na za pale Kaaba Mecca ikatokea Islam religion,
Hizo documents za kuonesha huo mchezo alizitwaa
Napoleon Bonaparte miaka Ile ya 1880's alipomteka pope na kumkata kichwa
akazibeba na kwenda nazo ufaransa,wajanja wanajua Lile Dili ambalo baadae likageuka dirisha baada ya kua verified!
Waquraish weusi watakuja nipiga Mawe ila habari Ndio hiyo
If you want to know Islamic religion secreto ask Pope!
ππππ
Hivi kwa lile tukio la Gwajima kama ndio angekuwa sheikh imamu wa msikiti unadhani bado angeendelea kuwa imamu wa msikiti? Ila ajabu hadi leo bado Gwajima anaendelea na waumini wake, ndio watu hao unawasifu wana uwezo wa kuhoji sio mazuzu?Kwasababu wanauwezo wa ku question sio mazuzu wala mazoba..free will na upendo ndio misingi ya ukristo.
Kule upande wa pili misingi yao ni chuki..unafiki..uzushi siku ukitaka kuquestion imani jiandae kuengwa..kupigwa mawe hadi kfa ama kukatwa kichwa.
#MaendeleoHayanaChama
Yani mkuu hao watu hata humu JF bado tu wanaogopa kutengwa na kuuwawa?Hata kwenye uislamu etheists wapo ila uislamu ni dini ya kimabavu. Ukideclare wewe etheists kama uko uarabuni au pakistani hakika utauliwa. Huku kwetu watakutenga utabaki unachukiwa na jamaa zako.
Ukristo tolerance na imani zingine ni kiwango kikubwa.