MC Pilipili afungua Kanisa

MC Pilipili afungua Kanisa

Utatu Mtakatifu—Huwachanganya na kuwafanya watu wapoteze imani

1. Imagine wanasema Yesu ni Mungu halafu wakati huohuo eti ni mwana wa Mungu,
2. Yesu alimuumba Maria halafu wakati huohuo Maria alimzaa huyohuyo Yesu
3. Yesu ni mtu halafu wakati huohuo ni Mungu, na wakati huohuo Yesu mtu ambaye ni Mungu bado anapiga magoti kumuomba Mungu wakati Mungu ni yeye mwenyewe.

Haya mambo huwachanganya watu, na mwishowe huona watoke ktk Ukiristo
Yan ukimuuliza mkristo wakat yesu kafa zile siku tatu kbla hajafufuka nan alikuwa akiongoza dunia na kujib haja za watu wake na mungu kafa ,then mungu huyo yupo msalaban anamuomba mungu amsaidie wakat ndio yey mungu ??
 
Wakichalenjiwa huko Taliban wanachinja watu, tushukuru upo nchi huru kwenye haya mambo...
Una miaka mingap Kwan mn unaongea kitoto Sana ,,wamechalengiwa na nan wakachinja watu ,hebu weka huo ushaid ,na nan sasa awachalenj Kama wakristo wenyew kitabu Chao hawawez kukichalenj na kumejaa madudu wataweza Qur'an ?
 
[emoji1787][emoji1787]
Yan ukimuuliza mkristo wakat yesu kafa zile siku tatu kbla hajafufuka nan alikuwa akiongoza dunia na kujib haja za watu wake na mungu kafa ,then mungu huyo yupo msalaban anamuomba mungu amsaidie wakat ndio yey mungu ??
 
Wengi wao wakisoma bible na misingi ya Ukristo na mienendo ya makanisa duniani kwa umakini wanakataa dini yao na kuangukia uislamu au upagani

Mfano mzuri Malcom X alikuta kanisa halikemie maovu na ubaguzi wa rangi ambazo zilikuwa kero kubwa kwa marekani

Hata kitakwimu nilisoma makala kwenye jarida la Times la Marekani inaonesha uislamu unashamiri sana ulaya makundi kwa makundi yanasilimu mpk na wao viongozi wa makanisa wakaamua kuanzisha kampeni na kuwapa mafunzo watu kwenda nchi ambazo zinawaislamu wengi wakaeneze dini.
 
Kwasababu ya imani ya kikristo kuwaaminisha yesu ni mungu wakikaa vizuri akili ikitulia wakijiuliza je kabla ya kuzaliwa yesu dunia haikua na Mungu? Ndo hapo hapo wanaanza kuona wanatapeliwa wanasema Mungu hayupo
Usiongee iliuonekane umeongea na unadharau imani isiyo yako hivi unajua madudu ya imani yako au umesahau ile ya kubusu jiwe maka eti unapiga shetani!???🤣🤣😂😂 pambana na imani yako kwanza
 
Hyo imani hta kama hujui maandiko ukitumai akili unajua ni uongo ukija matendo ndo zero kwamba haijakamilisha katika mfumo wa maisha ya binadamu

Kingine 60% wanajua kabisa kama wamepotea wengi wanafanya biashara
Na kule maka mnakoenda kubusu jiwe na kulizunguka🤣🤣😂😂 mnawapelekea waarabu pesa za utalii nyie ndio vilaza kabisaa
 
Tembea oman, saudia arabia, nk wapagani walivyowengi tena asili yao walikuwa waislam usipende kushambulia din isiyokuhusu huku kwako kunawaka acha unafiki wewe
 
Hata uislam nao ni uongo mtupu eti mungu anajua kiarabu tuu. Dini imekaa kiarabu kiarabu yaani tamaduni zote za kiarabu ndo uislamu. Sasa hapo kuna nini.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watakuja wakupopoe mawe. Lol
 
Nilijikuta nikiwa Atheist nikiwa kidato Cha pili tu,hiyo ni baada ya kua deep Sana Kwenye kusoma Bible,
Still bible ni kitabu nachokipenda kina rejea nyingi za kihistoria,
morals and dogma na hua napenda kukisoma tu hasa agano la kale ila tangu nianze kusoma sijaona Muunganiko na huyo Mungu mule zaidi tu ya contradiction, sometimes hekaya ya kufurahisha genge
Za Waisrael,
Nje ya hapo nisiwe mwongo Mimi ni pure Atheist na hakuna mfia Dini atanibadilisha Wala kuniaminisha kitu nikamwelewa Labda huyo Mungu mnaedai yupo aje mwenyewe au atume mjumbe wa maana Sana Ndio nitamuelewa bila Hivyo atakua ni hekaya kama kama hekaya nyingine na hajawahi exist popote!
[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
 
Uislamu una logic zipi mdau?... za kubanwa na kaburi, kung'atwa na joka kubwa kaburini. Za kuwa na mademu 72 peponi....
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] khaaaaah
 
Na kule maka mnakoenda kubusu jiwe na kulizunguka🤣🤣😂😂 mnawapelekea waarabu pesa za utalii nyie ndio vilaza kabisaa
😂😂😂makasirko wazee wa italy maana hata waisrael hawawatambui
 
hio tafiti uliifanyia wapi Kwamba Atheist wengi ni wakristo?
Tafiti fupi ni ya hapa hapa Jf Atheist karibia wote asili yao wametokea kwenye Ukristo kuna mifano rahisi ;

1.Kuna member kaanzisha uzi Freemason ndani ya makanisa na katika uzi ule ukifuatilia reply unagundua wengi wana mashaka na Imani yao

2.Kuna member alianzisha uzi wa kufuta bible

3.Bujibuji Mzee wetu alianzisha uzi wa kuacha kwenda kanisani na usanii wa wachungaji

4.@KENZY naye mkristo kaanzisha mada juzi juzi inayoashiria kuwa naye anaingia kwenye chama la Kiranga

5.@Darmian naye mkristo naye kaanzisha uzi unaoashiria anaona kama yuko chaka

6.nk
 
Hata uislam nao ni uongo mtupu eti mungu anajua kiarabu tuu. Dini imekaa kiarabu kiarabu yaani tamaduni zote za kiarabu ndo uislamu. Sasa hapo kuna nini.kwam

Tafiti fupi ni ya hapa hapa Jf Atheist karibia wote asili yao wametokea kwenye Ukristo kuna mifano rahisi ;

1.Kuna member kaanzisha uzi Freemason ndani ya makanisa na katika uzi ule ukifuatilia reply unagundua wengi wana mashaka na Imani yao

2.Kuna member alianzisha uzi wa kufuta bible

3.Bujibuji Mzee wetu alianzisha uzi wa kuacha kwenda kanisani na usanii wa wachungaji

4.@KENZY naye mkristo kaanzisha mada juzi juzi inayoashiria kuwa naye anaingia kwenye chama la Kiranga

5.@Darmian naye mkristo naye kaanzisha uzi unaoashiria anaona kama yuko chaka

6.nk
Naunga mkono
 
Kitu ambacho ukijui kuna watu wengi ambao ni atheists lakini mbele za watu wanajifanya ni waumini wa imani fulani.... maana kama mtu anaamini kwanin mambo yaliyokatazwa na huyo anayemwamini bado anayatenda? Midomoni ni watu wa dini ila kimatendo ni atheists...
ukimaanisha Waislam ndio maana atheist waliokuwa Waislam hwaonekani?
 
Tafiti fupi ni ya hapa hapa Jf Atheist karibia wote asili yao wametokea kwenye Ukristo kuna mifano rahisi ;

1.Kuna member kaanzisha uzi Freemason ndani ya makanisa na katika uzi ule ukifuatilia reply unagundua wengi wana mashaka na Imani yao

2.Kuna member alianzisha uzi wa kufuta bible

3.Bujibuji Mzee wetu alianzisha uzi wa kuacha kwenda kanisani na usanii wa wachungaji

4.@KENZY naye mkristo kaanzisha mada juzi juzi inayoashiria kuwa naye anaingia kwenye chama la Kiranga

5.@Darmian naye mkristo naye kaanzisha uzi unaoashiria anaona kama yuko chaka

6.nk
Huo ushahidi kwenye fake I'd au sio?
😁😁😁😁
 
Back
Top Bottom