MC Pilipili apata ajali ya gari akiwa Shinyanga

Mi ni ngumu sana kumkwepa mwenda kwa miguu au mwendesha baiskeli au pikipi au bajaj endapo nitakuwa nahatarisha maisha yangu na huyo mhusika ndio kavunja sheria
bora nimpande itajulikana mbele kwa mbele
Kumkwepa kuna uwezekano mkubwa sana wa mimi kutokuwa hai
 
pole zake Mungu amsaidie

/Akifa shekhe kazi ya Mungu/
/Akifa mlevi sababu ya Pombe/
 
Kwa mujibu wa mpiga picha wake anaejulikana kwa jina la...
Asante kwa taarifa pole zake mungu ampe wepesi
 
Reactions: SDG
Mkuu kumbe unayajua ee yani ni takataka kabisa yale sijui kwanini watu bado wanayanunua
hawana elimu ya magari au hawafanyi tafiti yakinifu, hizo gari ni zamani kweri miaka ya 90s.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…