MADAM T
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 5,747
- 2,977
Toba! Kumbe wa hovyo hivi!Hahaahaa....
Huyu Jamaa si MC...
Huwa anawachana sana wanaume wenye ujuzi wa VETA kwenye shuguli zake..
Yani wanawake hawapaswi olewa na watu wa VETA.....ye anawachukulia wa chini dizain..
Sasa huko VETA wanamsubiri na hilo Prado
.