MC Pilipili asema mahari ya mchumba wake ni milioni 8

mahali = mahari

Yaani wewe hufahamu tofauti ya mahali na mahari?

Punguani wahed.
 
Ndoa za mitandaoni, mm mahali yangu 1.5mil...na bado hawajapata kitu na kuna kupika na kupakua😀😀😀😀😀😀

yeye anataka tumsaidie kuchangia mahali ama nini?, au hata hizo mahali amepewa na mchumba ili akamilishe zoezi mapema??😛😛
 
kumbe ajapiga haaa yani anaoa bila kupiga uyu jamaa ana akili kweli uoe bila kupiga wakati wenzie tuna piga na kutia mimba ndo tunaoa sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Una uhakika mama yake anaishi kijijini?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…