FaizaFoxy
Platinum Member
- Apr 13, 2011
- 100,246
- 123,145
Mchekeshaji na MC maarufu bongo Mc Pilipili asema amepangiwa mahali ya milioni 8 ili kumchumbia mpenzi wake anaetarajia kumuoa hivi karibuni na tayari ameshatoa milioni 5 , Pilipili pia ameongeza kuwa yeye ameokoka hivyo Hadi Sasa tangu aanze mahusiano na binti huyo hajawahi kufanya nae mapenzi japo huwa anaenda kwake kumsaidia kupika na shughuli za nyumbani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani wewe hufahamu tofauti ya mahali na mahari?
Punguani wahed.