MC Pilipili asema mahari ya mchumba wake ni milioni 8

MC Pilipili asema mahari ya mchumba wake ni milioni 8

Duuh mbunye ilishatumika na bado mahari milioni 8? Aiseee wazazi wamepata bahati.. Hapo bado hajajua km yaliyomo yamo, ni hapo atapoenda kukutana na Mtera, abaki kuwa mhenga asieishiwa msemo.. # mtoto wa kike hazina ndogo
Umejuaje Kama mbunye yake ishatumika?
 
Milioni 8 kwa wa huyo demu hapo kapigwa. Mi hata buku tano ningeomba chenji
 
Milioni 8 kwani ina bluetooth au inaimba blues ikiwa inasuguliwa.
hiyo hela angempa mama yake kijijini angeombewa kila dua la heri kuliko kumlipia mtu ambae kuna masela walishabanjuka nae kwa chupa ya togwa tu.
Na hapo katoa milioni 8 lakini hajaionja anasubiri ndoa kwa mujibu wa maelezo yake. Sasa subiri aende huko hiyo siku ya ndoa akute ana ukuni kama wake, nahisi atalia mara mbili ya siku ya kumvalisha pete.
All in all hongera zake.
Unatumia kilevi gani?
 
[emoji23][emoji23][emoji23] mi naomba kucheka kwanza.
 
MAHARI KWA MWANAMKE ASIE BIKRA NI CHINI YA 250,000KAMA UMEOA MWANAMKE ASIE NA BIKRA MAHLI JUU YA 250,000 NGOJA NIKAE KIMYA😡😡😡😡😡😡😡😡😡🙄🙄🙄🙄🙄🙄🙄
 
Back
Top Bottom