MC Pilipili asema mahari ya mchumba wake ni milioni 8

MC Pilipili asema mahari ya mchumba wake ni milioni 8

Mchekeshaji na MC maarufu bongo Mc Pilipili asema amepangiwa mahali ya milioni 8 ili kumchumbia mpenzi wake anaetarajia kumuoa hivi karibuni na tayari ameshatoa milioni 5

Pilipili pia ameongeza kuwa yeye ameokoka hivyo hadi Sasa tangu aanze mahusiano na binti huyo hajawahi kufanya nae mapenzi japo huwa anaenda kwake kumsaidia kupika na shughuli za nyumbani.

View attachment 988628View attachment 988629View attachment 988630View attachment 988631

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwani Mc pilipili mbuzi, ni bikra? Na huyo demu wake bikra?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Napenda vile huyu binti yupo WELL COMPOSED!
is like anajionea dah! Mshikaji mbona kama UMEONA UMEOKOTA LULU WAKATI KITU CHA KAWAIDA TU HIKI!
Ila mi namwelewa pilipili, ZILE SKANDAL ZAKE NA YULE MWENZIE WALIKUWA WANAVAA VIKAPTURA VYA PINK NA VYA NJANO SAUZI! nao si wa kupuuzwa!

WAZEE WA CODES
naomba tukutane pale kwenye tent la kijani, kuna kikao cha dharura!
cute b Evelyn Salt



Nasikia harufu ya kutatuliwa mtu marinda aisee....
 
Hapana nilitaka tu busara zako. Kule umemtetea sana lakini kwa yanayoendelea atakuangusha. Mpaka sasa tushajua mahari aliyoambiwa atoe, tushajua huyu mdada alikuwa na mtu wake na kafuata pesa kwa Pilipili. Yote Haya hata wiki haijaisha. Ila kubwa nilitaka nione unasemaje kuhusu public stunt anayopata huyu Dada toka kwa mume mtarajiwa wake

Mambo yasiwe mengi, mengi yasiwe mambo

Hataniangusha Pilipili, Mdada ndie atamuangusha and God forbid we should expect more tears kama hana mapenzi ya dhati na yeye.

But you know what it is so, Karma will have to intervene for Pilipili.

All we can do right now is hope that it is all genuine.
 
Hataniangusha Pilipili, Mdada ndie atamuangusha and God forbid we should expect more tears kama hana mapenzi ya dhati na yeye.

But you know what it is so, Karma will have to intervene for Pilipili.

All we can do right now is hope that it is all genuine.


Hii mbona iko wazi kabisa ... kulia tuu inaonyesha udhaifu mkubwa sana kwa bwana mc. Yule mwanamke atamsumbua sana kijana wa dodoma maaana inaelekea jamaa katuma nguvu kubwa mnoo kulazimisha ndoa kwa mwanake wakati mwenzake sura inaonyesha hana fellings hata kiduchu .. atapata tabu sana .
 
dah jamaa noma hajamvua chupi mpaka leo.

mc pili pili bado anakauchildish flan.

au bado.anakaushamba flani lakini ni kawaida ya wagogo wanatabu sana
 
Milioni 8 kwani ina bluetooth au inaimba blues ikiwa inasuguliwa.
hiyo hela angempa mama yake kijijini angeombewa kila dua la heri kuliko kumlipia mtu ambae kuna masela walishabanjuka nae kwa chupa ya togwa tu.
Na hapo katoa milioni 8 lakini hajaionja anasubiri ndoa kwa mujibu wa maelezo yake. Sasa subiri aende huko hiyo siku ya ndoa akute ana ukuni kama wake, nahisi atalia mara mbili ya siku ya kumvalisha pete.
All in all hongera zake.
Kweli jamaa mpuuzi kweli....
angeonja kwanza hajui kuna mademu wana K mbovu...ukipiga mara moja hutamani kurudi!?
 
Duuh mbunye ilishatumika na bado mahari milioni 8? Aiseee wazazi wamepata bahati.. Hapo bado hajajua km yaliyomo yamo, ni hapo atapoenda kukutana na Mtera, abaki kuwa mhenga asieishiwa msemo.. # mtoto wa kike hazina ndogo
Sio mbunye tu.... unaweza kuta hata rinda lilishakatwa....siku nyingi
 
Back
Top Bottom