Mc Pilipili: Sipo kwenye ndoa, mwanamke amenifilisi

πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£πŸ€£mapambio yote yale na machozi juu
Kiko wapi, kiko wapiiii!!!!!!!!! πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Shida alimu expose mke wake kwa matajiriiiii πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜… alafu siku nikaona anahojiwa na clouds anasema mimi ni nani??? nisiwe na mwanamke mzuri, kwani nini wawe matajiri tu.....hapo ndiyo alipo tangaza vita na matajiri.....

Mange kimambi aliwai linanga hili penzi na kusema demu naye ni kinuka chupi graduate kakutana na Mc wa kuja mjini hana hata krismas mbili dar πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…

Vijana wenzangu tajiri akiamua kuchukua mke wako huna la kufanya.
 
Pesa ni mwanaharamu.
 

Daaa hatari sana.

Mke anatoa connection mzee anamalizia safi sana
 
Filomena dada yako,mi naitwa cute mena sawa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…